Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Hata akikaa mwaka mkuu,

Tutamlinda...jeshi la ardhini liko fiti kupita maelezo...

Halafu unajua nini....tunataka kuwa na Ta wingi nzito kupita A- wingi....

Subiri mtaona....

Babu DC!!

wazo zuri babu kila la heri
 
nimelipenda sana hilo wazo lenu. Hongereni sana!


Wewe subiri utaona....

Mwenyekiti.. Mwanyasi..

Katibu...Mama wa nguvu KOKUTONA..

Mtunza mafweza....toto la haja.. Arabela (hapa mjifanye kama vile aliyeyasema siyo Babu)!!

Timu nzima ikiwa na akina YNNAH na wengine..

Washauri....Babu DC na wale wangine ambao nimeamua kuwaweka kapuni kwa sasa!!

Mtasoma namba nyie wa A - wing...lol!!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
usihangaike na Mwanyasi! Fikiria vizuri yale tuliyoongea na uyafanyie kazi! Usisahau kuwa mimi ndiye nitakupokea utakapofika Arusha!

sawa hakuna tatizo nimeupokea mwaliko Filipo
 
Last edited by a moderator:
Mmeanza, mmeanza, mmeanza.
Aliyewaalika mchungulie nani?
Eti wengine wakajipendekeza kumpaka sijui mananihino gani, sijui ma-vicks na dawa ya panya, tulipofika Duga-Mwembeni alizifutilia mbali zote.
Eheee......!
Mie nilikaa sea ya nyuma nikawa naichek tu movie mwanzo mwisho. Filipo alisema kabisaa lile chenga la macho!
 
Last edited by a moderator:

They are real smart...........! No joke!
 

tumpe kisses Mwaaah mwaaah
 
Last edited by a moderator:
Thanks Arabela for being our super guide at the very right time!

We'll never forget the adventure we participated together!


Ahsanteni sana!

yeah we were together all time kushoto wewe kulia watu8 yani katikati. Acha nijiripue liwalo na liwe
 
Last edited by a moderator:
yeah we were together all time kushoto wewe kulia watu8 yani katikati. Acha nijiripue liwalo na liwe

Kumbe kile kimya chako ulikuwa unatunga sheria ya kukuweka kati wale vijana!
Kweli maji ya ukuli nouuuma
 
Na itabidi tupeane zamu za kusubiria hilo basi hadi lifike Arusha, maana anaweza akashuka na kuingia kwenye basi linaloondoka jioni Arusha kwenda Tanga linaloitwa BAZZU.

mwaogopa isije ikawa tungelijua nyingi
 

yap yap kwanini Babu Dc upate tabu wakati nguvu kazi ipo?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…