Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

ahsante my dia kwa kujali uwepo wangu na mchango wangu. Love you all

Thanks Arabela for being our super guide at the very right time!

We'll never forget the adventure we participated together!


Ahsanteni sana!
 
Last edited by a moderator:
Thanks Arabela for being our super guide at the very right time!

We'll never forget the adventure we participated together!


Ahsanteni sana!

Taratibu kamanda!


Hivi umeshaamka au ndo unasubiri nguo zikauke?
 
Last edited by a moderator:
Utupe namba za simu za konda na dereva Mwanyasi.
Na itabidi tupeane zamu za kusubiria hilo basi hadi lifike Arusha, maana anaweza akashuka na kuingia kwenye basi linaloondoka jioni Arusha kwenda Tanga linaloitwa BAZZU.
 
Last edited by a moderator:
Waaoh!
Mkubwa sana Mwanyasi.
Mimi nilipokuwa natazama avatar yako nilikuwa nahisi mkuu huongeagi na watu!
Bt kila kitu kimekuja kuprove very wrong baada ya kuonana.

Mkuu unastahili kila sifa ya kugombea Ukatibu wa kundi la Tanga-Wing, japokuwa KOKUTONA ameahidi kuwa yuko tayari kuyanywa maji ya kule Pangani ili asafishe nyota na kuitwaa nafasi hiyo ya ukatibu...lol!
Mkuu pokea sifa kemkem, na ili kukuonyesha shukran wana -ArushaWing wameamua kwa kauli moja kukupa ofa ya One Night Stand na sweetlady pale Seaside Community Centre, kwa Sister MariaSalome!
Bili zote ziwe directed kwa account yetu iliyopo Meridian Biao Bank.
Khaaa! Shindwa pepo!


Muwe na safari njema wapendwa! Nawasubiri stand. Filipo usisahau mananasi plz.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha PakaJimmy bana, usione ukadhani.....!
Avatar isikutishe, mie napenda dana movies, huyu jamaa yupo smart sana, kama alivyo Preta (avatar - kucheza)
Ukatibu......... time will tell, KOKUTONA hakuwa na haja ya kunywa yale maji kwa ajili hiyo maana anafaa kabisa.
Mie labuda kutunza mabo ya fwedha.
Huyu sweetlady tena nina hamu nae sana, mimi simuogopi Mungi kama nitonye.
Hahahahaha! Umewahi kumuona Mungi akipandisha mori wewe? Shaurilo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom