Wana-JF waongo waongo/sound sound

Pia kuna dogo mwingine alipatwa kuitwa GENTAMYCINE.. Tulimkanya akatuelewa wakubwa zake.
 
Pia kuna dogo mwingine alipatwa kuitwa GENTAMYCINE.. Tulimkanya akatuelewa wakubwa zake.

Katika Lugha ya Kiswahili ukisema alipatwa unamaanisha labda hakipo tena Duniani.Je,huyo uliyemtaja hapo ulishatangaziwa kuwa kuwa hayuko tena Ulimwenguni?
 
Katika Lugha ya Kiswahili ukisema alipatwa unamaanisha labda hakipo tena Duniani.Je,huyo uliyemtaja hapo ulishatangaziwa kuwa kuwa hayuko tena Ulimwenguni?
Nilikumiss rafiki, kuna aliyeanzisha thread hapa kuwa unakula maharage na dagaa kule 5* Hotel Keko au Segerea.
 
Nilikumiss rafiki, kuna aliyeanzisha thread hapa kuwa unakula maharage na dagaa kule 5* Hotel Keko au Segerea.

Binadamu Kusemwa, Kusingiziwa, Kuzushiwa, Kuchukiwa na Kudhalilishwa ni sehemu ya Maisha yake na Binafsi wala sishangai. Tatizo siyo hii ID bali ni vile Vitu adimu vilivyopo ndani yake kama......

Purely Talented

Charismatic Fella
Game Changer

Entertainer

Asante kwa taarifa.
 
Katika Lugha ya Kiswahili ukisema alipatwa unamaanisha labda hakipo tena Duniani.Je,huyo uliyemtaja hapo ulishatangaziwa kuwa kuwa hayuko tena Ulimwenguni?
Dogo ulikula ban nini? Tulimiss sana pumba zako
 
Halafu mijitu miongo miongo na mimbea mimbea na mizembe mizembe inaishi maisha safi halafu free from migonjwa isiyoambukiza kama pressure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…