Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Kuna wa kwangu amenishinda, namlipa sh 50,000 kwa mwezi. Anafanya kazi vizuri sana lakini ananitaka. Nataka kumwondoa kwa hiyo Kama unamhitaji tuwasiliabe
Oopss Gerald samahani sikuwa nimesoma na posts nyingine kumbe unatafuta mchumba?? Orait orait weka qualification basi ili tuone ka na sie vikongwe (Sweet 16) tunakwalifai.
Nimekumiss
anataka below 25,my dear MJ1, jitose ila navyofikiri.........:wink2::decision:
Hahaha nimekumiss pia BUT tumsaidie kwanza Gerald then tutamisuana sawa CPU?
Natafuta binti plse msaada kwenu
Hahah Michelle mydia haya mambo ah .....mie ni retired officer..menopozi hadi imekomaa.... but am still Sweet 16!!
Hahah Michelle mydia haya mambo ah .....mie ni retired officer..menopozi hadi imekomaa.... but am still Sweet 16!!
Huyu kijana anataka kujifunza kutoa post JF basi
Ingawaje anasema ana miaka 30 lakin maelezo yake yanaonyesha anajifunza kutongo**za
Gerald, unaweza ku-edit hii post...wengine tunafikiri unatafuta binti wa kazi au binti amepotea! Pia ungeweka angalau wasifu wako na yule umtakaye ingependeza zaidi! Otherwize, nakutakia kila la heri!
mmmhhh yaani duh,haya mambo ya mi nipo nipo hadi 35 (sweet 10...l.o.l)....matokeo yake si fit kwenye criteria za kina Gerald,kaongeza na weupe juu,sasa mimi na huu u-cheusi dawa wangu ngoja nitoke hapa.......Gerald.....all the best my brother,it was nice meeting you!!!!
mmmhhh yaani duh,haya mambo ya mi nipo nipo hadi 35 (sweet 10...l.o.l)....matokeo yake si fit kwenye criteria za kina Gerald,kaongeza na weupe juu,sasa mimi na huu u-cheusi dawa wangu ngoja nitoke hapa.......Gerald.....all the best my brother,it was nice meeting you!!!!
Mmmmh! Sweet 16 wapiiiiii!? Nyie mnakuwaga wachachuuuuuuuuuuu :wink2:
Unataka Mtu Asemeji embu nifundishe wewe mwerevu wa kutongoza