Wana JF

Wana JF

Kwani nimekosea Karen, si anatafuta mtoto wa kazi!!! Hahahaa

Gurudumu....this is a serious business....akimpata mchumba hapa ndo hivyo tena Michelle napokea baraka kwa kumsaidia.....naomba muwe serious!!
 
si kama mimi,usingekuja leo ningehama JF,ni ngumu bila wewe jamani....mambo shwari sio?

nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kupitia posti zako zote......l.o.l ole wako uwe umenikwaza..:ranger:
 
nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kupitia posti zako zote......l.o.l ole wako uwe umenikwaza..:ranger:

:A S 13:Challenges are what make life interesting; overcoming them is what makes life meaningful :wink2:
progress.gif
 
Gurudumu....this is a serious business....akimpata mchumba hapa ndo hivyo tena Michelle napokea baraka kwa kumsaidia.....naomba muwe serious!!

Hakusema anatafuta mchumba jamani Michelle. Mbona mnamuwekea maneno? Unajua binti ni mwanamke mdogo na ambaye huwezi kumvulia nguo bana
 
Hata kidogo so kwenda juu ni wachachu ni nini

we ulishakuwa na uhusinao wa kimapenzi na mwanamke wa miaka 40 kwenda juu?if hapana then huwezi jua hili,yeye naona anajua through experience!!
 
uwe unatoa thanks,hapo kushoto kwako kuna sehemu utaona pameandikwa thanks....click hapo kama comment imekufurahisha au umeipenda!!!

Leo Michelle ameokota KIDUDE :wink2:
 
we ulishakuwa na uhusinao wa kimapenzi na mwanamke wa miaka 40 kwenda juu?if hapana then huwezi jua hili,yeye naona anajua through experience!!

Sasa si unfahamishe kama unautaalam huo
 
mi ntasema CPU ndo alisema......:decision::decision:

Kijana mwenyewe kaiba computer ya baba ake ndo kaingia Jamvini, masikin hawezi hata kujitetea, ndo atajua kuelezea huo uchachu????
 
Back
Top Bottom