inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Simba alishakula goli half time,acha porojoMechi iyo unayosema mpaka half time ilikua 0-0 Refa alikua yule jamaa anaitwa Abdul Kadri ana Asili ya kisomali. Kocha wa Yanga Alikua marehemu Mziray.
Wakati timu zinaingia uwanjani kabla ya kuanza mpira Mziray aliwaonyesha alama ya vidole viwili mashabiki wa Simba akimaanisha watakufa goli 2.
Alikua Akicheza na saikolojia ya Simba na kweli kipindi Cha pili Wakati wachezaji wanatoka vyumbani wachezaji wengine waliingia uwanjani wengine walielekea kule usawa wa vyooni walipo paki basi lao.
Inaonekana ata viongozi waligawanyika juu ya kutoa timu uwanjani.
Mwishowake wakaweka mpira kwapani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mgonjwa atema dawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukumbushane goli la Yanga lilifungwa nani?Simba alishakula goli half time,acha porojo
Nimeanza fuatilia mpira wa Simba na yanga 1988,natakiwa nikumbuke magoli yote tangu hapo mpaka Leo nani alifunga!?...game rahisi kukumbuka goli ni ile baada ya mei 18 1991,said sued scud alifunga,kwa kuwa palikua na vitu viwili ambavyo sharti uvikumbuke,kwanza ilikua tangazo la biashara(wadhamini),tuliporudi uwanjani tunasikia shangwe,sisi wa redioni hapo hatujui japo hatusikii kidedea,pili mtangazaji akasema 'ni yuleyule wa mei 18,said sued scud'...hii hata shabiki wa Simba ataikumbuka Hadi anakufa,Sasa hiyo game Simba kaingia mitini hakuna kitu kitakufanya umkumbuke mfungajiTukumbushane goli la Yanga lilifungwa nani?
Yanga hakuwa bingwa wa Cecafa 1998Ugomvi wa yanga na cecafa ulianza 1998, yanga hawakupewa hela yao ya ubingwa
Ubingwa waliochukua yanga Uganda kwa Mara ya pili mbele ya Vila ilikua mwaka gani!?..maana ndiyo mwaka yanga alifika robo/makundi klabu bingwa afrikaYanga hakuwa bingwa wa Cecafa 1998
ubingwa ulichukuliwa na Apr ya Rwanda Znz
Yanga alichukua Ubingwa wa CECAFA tena pale Uganda mwaka 1999 si 1998 Kwa kuwafunga Sports club villa safari hii Kwa mikwaju ya Penalty hawakulipwa fedha za Ubingwa.Ubingwa waliochukua yanga Uganda kwa Mara ya pili mbele ya Vila ilikua mwaka gani!?..maana ndiyo mwaka yanga alifika robo/makundi klabu bingwa afrika
1999Ubingwa waliochukua yanga Uganda kwa Mara ya pili mbele ya Vila ilikua mwaka gani!?..maana ndiyo mwaka yanga alifika robo/makundi klabu bingwa afrika