Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ushawishi wa huyu dada Mbeya unaongezeka Kila uchao na Kama upo karibu na sugu mwambie asipoteze pesa nyingi kwa kampeni,afanye maisha maana lolote laweza tokea.
Mwaka 2010 sugu alipita kwa sababu watu walimchoka yule mzee mpesya(Kama sijakosea jina) wa ccm na 2015 ccm ilikuwa imechokwa,2020...?Kwa taarifa yako ni kuwa mh Sugu hapa mbeya wala hatumiagi fedha ili tumchague.
Sisi tunachagua utendaji wake wala siyo fedha.
Sugu hatukumchagua ili akaonyeshe DOLE LA KATI bungeni ,,
Ebu nambie amefanya nini sugu mda wote alio kaa madarakani
Unaona wivu dole LA kati kuonyeshwa bungeni badala ya kupewa wewe?Sugu hatukumchagua ili akaonyeshe DOLE LA KATI bungeni ,,
Ebu nambie amefanya nini sugu mda wote alio kaa madarakani
subiri uonebasi kamlete huyo mamako sura mbaya uone kama atashinda. labda kama mmejiandaa kuua watu ili kulazimisha ccm ishinde ila fairplay bora atafute kazi nyengine ya kufanya au aombe agombee uspika huko bungeni ashindane nduli
naona wivu kweli ilitakiwa nimpe baba yakoUnaona wivu dole LA kati kuonyeshwa bungeni badala ya kupewa wewe?
wewe pia ukweli unaujuaCcm mmekaa madarakani kwa miaka karibu 60 nini mmetufanyia sisi wananchi?