Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Maendeleo sio hisani ya kikundi cha watu kwamba bila wao hayaji
 

Kama kuna Mkoa ambao nautabiria mapema sana kuwa ama kuanzia Uchaguzi wa mwaka huu wa Serikali za Mitaa au ule Uchaguzi Mkuu wa Mwakani kuwa kutamwagika Damu nyingi na kutatokea Uhasama, Uadui na Uharibifu mkubwa kama hatua za Kiumakini kabisa hazijaanza Kuchukuliwa sasa basi ni Mkoa wa Mbeya na hasa kwa Jimbo la Mbeya Mjini na mengineyo Mawili.
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Maendeleo hayana chama, si lazima awe Tulia ndo Mbeya ipate maendeleo, yeye aridhike tu na wadhifa alio nao kwa sasa.
 
Suria
 
Katika siasa tunachagua sura. Ingekuwa hivyo basi mdee asingechaguliwa
 
mm nakapenda kamama kale, kanajitolea sana hata kama kanataka kugombea mm naweza kukapa kalete maendeleo hata kwa mlango wa nyuma tu
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Kwani maendeleo yaliyopo mbeya kayaleta yeye? na nani wa kulaumiwa endapo mbeya haina maendeleo miaka 55 ya uhuru? mbona wajikaanga mwenyewe kwa hoja nyepesi? you can fool people at once but not all the time.
 
Mbeya tumestuka Tulia ndiyo mkombozi wa jimbo la Mbeya- Take my words sugu atafute kazi nyingine-
 
Mumemkataa nyie wapiga kura lakini NEC inatambua yeye kabla hata ya uchaguzi kufanyika.
 
Kifo kimepewa siri kwa binadamu ingekuwa kifo kinajulikana kila mtu angejiandaa. Sugu naye angekuwa anajua kuwa hashindi uchaguzi mwakani angeanza mikakati mingine nje ya ubunge. Sioni na simpi sugu ktk hesabu za probability simpi ht 0.5 ya kushinda dhidi ya Tulia
Kelele zote hizi ni za ccm kutumia kivuli cha Sugu tunajua Timu naibu waziri. Timu mc na timu mdau wa maendeleo hawa wote wako ccm ndiyo wanaopambana na Dr Tulia na silaha iliyobaki ni kulalamika kishawashinda wote hao
Nje ya ccm Dr Tulia hana mshindani sugu hawezi jamani sisi tupo huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…