Uchaguzi 2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

halina hata mvuto,jeusiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja wamlie tu hela zake
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Ataleta maendeleo gani!?...majimbo ya ccm kama ya songea,Dodoma,songeaa nk ndo yako nyuma kimaendeleo!!
 
Mimi naishi Mbeya mjini hapa . Kwenye ubunge ndampigia kula Dr. Tulia. Kwenye uraisi bado sijamuona wa kumchagua.

Mbeya tusiwe wajinga. Tulia ni Kiongozi sahihi kwa sasa . Hip-hop haiuziki sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanyakysua ni watu wanaojitambua hilo halina ubishi...kuna mahali inafikia hata namna ya kuiba kura hushindikana.
 
Hatufai kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama haijui Mbeya vizuri anataka kuaibika bure!! Namshauri walau aende Kigamboni kule anaweza kutoka mlisi.

Heeeee... Yoope Bhetiina..... Mmmaa.... Tunampenda Dk Mary Machuche Mwanjelwa.... CCM
 
Muda wa kumkataa umefika
 
Njoo ir uone maajabu alioleta msigwa
 
Kwa siasa za CCM kama Mwakanyamale bado yuko hai basi Mungu apewe sifa
 
Mkuu usibadili ID mpaka mwisho, maana yawezekana wanambeya wakawa wale wa darusalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…