Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.