Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.

Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.

Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.

Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Dah.....ukiwa upo nae faragha jitaidi awe anaoga kabla ya mechi au uwe unamuogesha huku unapiga mambo yako.......na jitaidi kumsafisha wenywe kwenye Tunda na mpige mswaki wote atajua mahaba ila kama anajua kujiongezea atajua kujiongeza ataelewa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
 
Dah.....ukiwa upo nae faragha jitaidi awe anaoga kabla ya mechi au uwe unamuogesha huku unapiga mambo yako.......na jitaidi kumsafisha wenywe kwenye Tunda na mpige mswaki wote atajua mahaba ila kama anajua kujiongezea atajua kujiongeza ataelewa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Hilo sio tatizo la kuoga wala kuswaki, hiyo imekaa kibaiolojia, inabidi apelekwe kwa daktari.
 
Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.

Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.

Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.

Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Kuhusu harufu mdomoni:
1. Hakijisha kabla ya denda ale ndizi angau 1 au 2.

2. Au atafune karafuu

Vitu hivyo viwili hukata harufu hata ya pombe kwa haraka sana.

Huko chini ngoja nikuitie wadada wasafi.
Evelyn Salt Demi ephen_
 
Kuhusu harufu mdomoni:
1. Hakijisha kabla ya denda ale ndizi angau 1 au 2.

2. Au atafune karafuu

Vitu hivyo viwili hukata harufu hata ya pombe kwa haraka sana.

Huko chini ngoja nikuitie wadada wasafi.
Evelyn Salt Demi ephen_

Bro anatufuta dawa ya mchepuko,mchepuko unatafuta dawa ya kibamia chake kisha unatafuta mume pamanenti kwenye Kamali tunaita GG
 
Back
Top Bottom