Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana magonjwa, ninaye muda mrefu na si wa hit and run.Magonjwa ya zinaa nayo yanaanza kupata usugu wa dawa. Mfikirie mkeo na watoto utakao waacha yatima
Anzeni kwa kupiga mswaki kila mkikutana, bebeni miswaki muelekee bafuni.Ukiacha tatizo lake, bibie katulia sana na ni mpole.
Dah.....ukiwa upo nae faragha jitaidi awe anaoga kabla ya mechi au uwe unamuogesha huku unapiga mambo yako.......na jitaidi kumsafisha wenywe kwenye Tunda na mpige mswaki wote atajua mahaba ila kama anajua kujiongezea atajua kujiongeza ataelewa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Hilo sio tatizo la kuoga wala kuswaki, hiyo imekaa kibaiolojia, inabidi apelekwe kwa daktari.Dah.....ukiwa upo nae faragha jitaidi awe anaoga kabla ya mechi au uwe unamuogesha huku unapiga mambo yako.......na jitaidi kumsafisha wenywe kwenye Tunda na mpige mswaki wote atajua mahaba ila kama anajua kujiongezea atajua kujiongeza ataelewa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Kuhusu harufu mdomoni:Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Lini umetunusa? 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Kuhusu harufu mdomoni:
1. Hakijisha kabla ya denda ale ndizi angau 1 au 2.
2. Au atafune karafuu
Vitu hivyo viwili hukata harufu hata ya pombe kwa haraka sana.
Huko chini ngoja nikuitie wadada wasafi.
Evelyn Salt Demi ephen_
🤔
Ulimpendea Nini?Mzuri haswa, mzuri kweli kweli ! Ananuka mdomo na kwa bibi, haya!
Kuhusu harufu mdomoni:
1. Hakijisha kabla ya denda ale ndizi angau 1 au 2.
2. Au atafune karafuu
Vitu hivyo viwili hukata harufu hata ya pombe kwa haraka sana.
Huko chini ngoja nikuitie wadada wasafi.
Evelyn Salt Demi ephen_
Ikianza kunuka ndio utajua hujuiMimi nanuka papa hivyo sina ushauri.
Unaweza kuwa ugonjwa gani huo?Kama mtu ananuka kila siku basi huo ni ugonjwa. Ampeleke hospitali
Mimi sio daktariUnaweza kuwa ugonjwa gani huo?