Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Haha kwani nilikunyima nini? HahaWewe ni mpare? Hao ndo watani zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kwani nilikunyima nini? HahaWewe ni mpare? Hao ndo watani zangu
Amenikwaza hahaFujo utaacha lini? 😅
Unajua ulichoninyima, hadi hamu imeniishaHaha kwani nilikunyima nini? Haha
Mzoee huyu mdogo wangu ni cha fujo.Amenikwaza haha
Unajua una uphala mwingi mdogo wangu hahaUnajua ulichoninyima, hadi hamu imeniisha
Kama ni la kutokuoshwa vizuri kunuka kwake hakukeri, kuna mnuko wenyewe "og"Wengine hawajui kuosha tunda wewe
Huyo amekosa sifa za kuwa mchepuko, mkeo ndio wa kumvumilia lakini Siyo mchepuko.Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Bro mi sio mdadaKuhusu harufu mdomoni:
1. Hakijisha kabla ya denda ale ndizi angau 1 au 2.
2. Au atafune karafuu
Vitu hivyo viwili hukata harufu hata ya pombe kwa haraka sana.
Huko chini ngoja nikuitie wadada wasafi.
Evelyn Salt Demi ephen_
Kiukweli show yako mbovu😁 ishi humo! Huna vibe kabisa kunako 6*6ngoja na sisi tuje kusemwa madhaifu
🤣🤣
Uzuri mbinguni hamna hayo mambo😹😹😹Kiukweli show yako mbovu😁 ishi humo! Huna vibe kabisa kunako 6*6
Hii code nimeielewa kamandaBro mi sio mdada
Hahahahah kumbe unajua eeh, tuendelee kuzagamuana tuUzuri mbinguni hamna hayo mambo😹😹😹