Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.

Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.

Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.

Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Huyo amekosa sifa za kuwa mchepuko, mkeo ndio wa kumvumilia lakini Siyo mchepuko.

Mchepuko anatakiwa kukupatia ulichokosa kwa mkeo lakini Siyo yeye kuwa kero tena kwako.


Piga chini .
 
Kiukwel hili swala lako linahitaji usaidiz wa afya
Humu jukwaani utaambulia emotional za wajinga wengi wasio elewa nin Cha kushaur
 
Inabidi umuambie ili mtafute ufumbuzi Pamoja, ... UNAANZAJE KWA MFANO?
Kwenye kesi yangu ya namna hiyo, mimi nilianza tu kumjaza manoti huku sigongi nikijifanya nguvu zimepungua kutokana na umri wangu!
🤣
 
Back
Top Bottom