Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hapana sinyonyiWee hunyonyaniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sinyonyiWee hunyonyaniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zagamuana na mkeo achana na mchepuko😹Hahahahah kumbe unajua eeh, tuendelee kuzagamuana tu
Mke ana nini ambacho mchepuko hana zaidi ya pete kidoleni😂?Zagamuana na mkeo achana na mchepuko😹
😹😹Eh ngoja nimuonyeshe mke wako unayozungumzaMke ana nini ambacho mchepuko hana zaidi ya pete kidoleni😂?
Hahahaha atakufukuza hutaamini😹😹Eh ngoja nimuonyeshe mke wako unayozungumza
Karuhusu uwe na mchepukoHahahaha atakufukuza hutaamini
Hajaruhusu ila hapendi umbeya umbeyaKaruhusu uwe na mchepuko
Ngoja ninyamaze asije kuona nakutakaHajaruhusu ila hapendi umbeya umbeya
Inawezekana unanitaka ila unatumia njia ndefu sana.Ngoja ninyamaze asije kuona nakutaka
😹😹
Kama huyo ni wewe kwenye avatar unaoneka una hela😍afu mzuriInawezekana unanitaka ila unatumia njia ndefu sana.
Hii umeokoteza mahali ila inaweza kusaidia wengine. Pekua hapa hapa kuna nyuzi nyingi tu zinazungumzia solution. i.e unavyoweza kumwambia bila kumuudhi.Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.
Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.
Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.
Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Hauko mbali sana na ukweli, ni vyema na wewe ukawa taste yangu😍Kama huyo ni wewe kwenye avatar unaoneka una hela😍afu mzuri
😹😹😹Taste yangu hio
😍Sina sura ila tutamia Yako au unaonajeHauko mbali sana na ukweli, ni vyema na wewe ukawa taste yangu😍
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahKuna mwana nilisoma naye chuo ananuka mdomo kisenge sidhani kama yule mshikaji ana demu
Vip kama ilo tatizo ndio linalomfanya kuwa mpole?Ukiacha tatizo lake, bibie katulia sana na ni mpole.
Nami nahisi hivyo!Vip kama ilo tatizo ndio linalomfanya kuwa mpole?
Mpeleke kwa madaktari wa kinywa na gynecologist