kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,521
- 2,747
Klabu za As Vita ya DRC Congo na zamalek ya misri zipo tayari kumnunua kwa Dola 200,000 ( ambazo ni sawa na Sh460 milioni),.
Meneja wake alisema fedha hizo zitakagawanywa mara tatu, Simba itaambulia chao kwa kuvunjwa mkataba huku meneja na mchezaji nao watapata chao.
Simba walimsajili Kagere kwa Dola 60,000( zaidi ya Sh120 milioni), huku ikimpa mshahara wa Dola 6000 (zaidi ya Sh12 milioni kwa mwezi.
“Kagere yupo tayari kuondoka Simba, kwani haya ni maisha na soka ndio ajira yake pekee, hizo timu ziliwasiliana nami ila niliwaeleza ukweli, ana mkataba wa miaka miwili japo ameshatumikia miezi sita Simba, wameonyesha utayari wa kuvunja mkataba huo.
Kwa upande wa Kagere alisema; “Ni kweli kuna ofa nyingi lakini kila kitu kipo chini ya meneja wangu, hivyo wakikubaliana mimi sina tatizo nitakwenda.”
Source mwanaspoti.
Meneja wake alisema fedha hizo zitakagawanywa mara tatu, Simba itaambulia chao kwa kuvunjwa mkataba huku meneja na mchezaji nao watapata chao.
Simba walimsajili Kagere kwa Dola 60,000( zaidi ya Sh120 milioni), huku ikimpa mshahara wa Dola 6000 (zaidi ya Sh12 milioni kwa mwezi.
“Kagere yupo tayari kuondoka Simba, kwani haya ni maisha na soka ndio ajira yake pekee, hizo timu ziliwasiliana nami ila niliwaeleza ukweli, ana mkataba wa miaka miwili japo ameshatumikia miezi sita Simba, wameonyesha utayari wa kuvunja mkataba huo.
Kwa upande wa Kagere alisema; “Ni kweli kuna ofa nyingi lakini kila kitu kipo chini ya meneja wangu, hivyo wakikubaliana mimi sina tatizo nitakwenda.”
Source mwanaspoti.