Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ushamba wewe,wengine pesa zetu tunapopata tunawekeza vyakula ndani, sasa sio wewe na mwenzio mje tu kienyeji kukwangua friji,kistaarabu chukua kinywaji kimoja au tunda basi tulia,lakini sio ku Pick kama mpo min marketAcha uchoyo wewe,hao wanakusaidia
kuondoa sumu kwenye friji yako,kama huna uwezo kivile weka
vyakula ambavyo unavimudu kuvibadilisha pindi vikitumika
hayo mazagazaga yakikaa sana kwa ajili ya mapambo
yanaexpirena siku ukiyanywa unapata magonjwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu sasa usela nnya,washkaji wakija homiz mnaanza kuparamia friji kama na kukomba mazagazaga bila hata huruma,mnadelute tu majuice,bites na kichafua chafua mazingira,tuoneane huruma bwana,kila mtu yupo katika utafutaji hakuna Don hapa, mbaya zaidi mkija na mademu zenu ndio mnaacha uchakavu kabisa,mnachanua tu miguu kwenye kochi kama mpo Leba..
Tumechokaaaa
Kwa.nini asiwaambie wakiwa hapo hapo home? Kuna ulazima wa kuleta JF?Ya kitoto lakini......
Nadhani wanalipiza unachowafanyia
Mkuu umenifanya niinuke nikakague jokofu langu, halina funguo!Ndio maana jokofu lina funguo. Haikuwa bahati mbaya na funguo siyo pambo. Just lock your fridge, no more stress!
Sisi sio mijitu lol!!....halafu mbeya kuna vyakula vingi sana utakula hadi uchokeAcha uchoyo tatizo mijitu ya mbeya michoyo kinoma
Na wewe acha uchoyo kwani wakila kuna nini??Huu sasa usela nnya,washkaji wakija homiz mnaanza kuparamia friji kama na kukomba mazagazaga bila hata huruma,mnadelute tu majuice,bites na kichafua chafua mazingira,tuoneane huruma bwana,kila mtu yupo katika utafutaji hakuna Don hapa, mbaya zaidi mkija na mademu zenu ndio mnaacha uchakavu kabisa,mnachanua tu miguu kwenye kochi kama mpo Leba..
Tumechokaaaa
Haha tulia we mwana mama,hali ngumu sio kuparamia mafriji,wa naweza jisevia kiasi na Si kwa pupaNa wewe acha uchoyo kwani wakila kuna nini??
Natamani hao rafiki zako waendelee kula hivyo hivyo tena waongeze zaidi
Una ka asili ka uchoyo tu MkuuHaha tulia we mwana mama,hali ngumu sio kuparamia mafriji,wa naweza jisevia kiasi na Si kwa pupa
Hawakufuata vyakula