Wana muache kuvamia Friji mkitutembelea

Wana muache kuvamia Friji mkitutembelea

Acha uchoyo wewe,hao wanakusaidia
kuondoa sumu kwenye friji yako,kama huna uwezo kivile weka
vyakula ambavyo unavimudu kuvibadilisha pindi vikitumika
hayo mazagazaga yakikaa sana kwa ajili ya mapambo
yanaexpirena siku ukiyanywa unapata magonjwa
Wacha ushamba wewe,wengine pesa zetu tunapopata tunawekeza vyakula ndani, sasa sio wewe na mwenzio mje tu kienyeji kukwangua friji,kistaarabu chukua kinywaji kimoja au tunda basi tulia,lakini sio ku Pick kama mpo min market
 
Huu sasa usela nnya,washkaji wakija homiz mnaanza kuparamia friji kama na kukomba mazagazaga bila hata huruma,mnadelute tu majuice,bites na kichafua chafua mazingira,tuoneane huruma bwana,kila mtu yupo katika utafutaji hakuna Don hapa, mbaya zaidi mkija na mademu zenu ndio mnaacha uchakavu kabisa,mnachanua tu miguu kwenye kochi kama mpo Leba..
Tumechokaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndio maana jokofu lina funguo. Haikuwa bahati mbaya na funguo siyo pambo. Just lock your fridge, no more stress!
 
Ndio maana jokofu lina funguo. Haikuwa bahati mbaya na funguo siyo pambo. Just lock your fridge, no more stress!
Wacha kukariri mkuu, sio kila jokofu lina funguo
 
Ndio maana jokofu lina funguo. Haikuwa bahati mbaya na funguo siyo pambo. Just lock your fridge, no more stress!
Mkuu umenifanya niinuke nikakague jokofu langu, halina funguo!
 
Huu sasa usela nnya,washkaji wakija homiz mnaanza kuparamia friji kama na kukomba mazagazaga bila hata huruma,mnadelute tu majuice,bites na kichafua chafua mazingira,tuoneane huruma bwana,kila mtu yupo katika utafutaji hakuna Don hapa, mbaya zaidi mkija na mademu zenu ndio mnaacha uchakavu kabisa,mnachanua tu miguu kwenye kochi kama mpo Leba..
Tumechokaaaa
Na wewe acha uchoyo kwani wakila kuna nini??

Natamani hao rafiki zako waendelee kula hivyo hivyo tena waongeze zaidi
 
Una Marafiki wa aina gani?

Kuna usemi wa Wahenga "nionyeshe rafiki zako nikwambie ulivyo"
 
Na wewe acha uchoyo kwani wakila kuna nini??

Natamani hao rafiki zako waendelee kula hivyo hivyo tena waongeze zaidi
Haha tulia we mwana mama,hali ngumu sio kuparamia mafriji,wa naweza jisevia kiasi na Si kwa pupa
Hawakufuata vyakula
 
Sio uchoyo, jaribu kugeuza upande wa pili wa shilingi, imagine ndo ww unafanyiwa hivyo ungekaa kimya? Tuwe wastaarabu kidogo tufikapo kwenye nyumba za watu bhana!
 
Back
Top Bottom