jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
sas hata mke akiwa pm bado wanafanya? maswali mengine jamani.
no nataka kujua coz huko ndo tunapoelekea bacha
gud jibuok,nafikiri ukiingia kwenye ndoa ndo utayajua mengi!kiukweli ukiwa nje ya ndoa kunakuwa na hadithi nyingi za kufikirika, lakini once ukishajitumbukiza kwenye ndoa unakuta story tofauti kabisa!Ndoa inaunganishwa/inajumuisha mambo mengi sana golder sio sex tu!
hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!
thax bacha
thax golder for undstandng.......!!!!!!
km vp kuwe na bed laws.....sheria zote za kufunuana ztakwepo umo na siyo mnarukiana rukiana tu km chura........hahahaah!hahah!!!1 i topic imenichekesha sana leo dahh yan unapata kimuyemuye b4 shuguli haijaanza?dah mi pia ivoivo bt finest na royaroy +asprin na nymayao watatutolea hofu tusubiri mwaya......!!!!!!!!!!
Childish, AND bORING!jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
sas hutaki au?