hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!