safiii..!!nimefunuliwa kabisa ndo ivo tena tehe tehe tehe tehe......:llama:
:hug::whip::whip::confused2::A S 33:
safiii..!!
Check saa mida ya Pub imekaribia
Kiukweli miezi ya kwanza inaweza kuwa hata kutwa mara tatu baadae ikawa mara moja kwa siku na baada ya mwaka tmara tatu kwa wiki,na baada ya miaka inaweza fika mara moja kwa wiki.Kwa lugha nyingine miezi ya kwanza utaona kasoro zote za dari au kuuta ya juu.
safiii..!!
:tonguez::tonguez:
Mi naenda zangu church kukesha!Check saa mida ya Pub imekaribia
confusing eeeeh??:tonguez::A S-alert1::hug::hug::nod::nod:😛hone:😛hone:
confusing eeeeh??
hata mie nilikuwa naskia tuu ..kama wewe ila nilivyoingia nikagundua sio kweli hayo usemayo ila haya yafuatayo ndiyo kweli kwa karibia 99% ya ndoa zetu waafrika....
1- ni marufuku kulala na nguo za ndani except siku wife yupo period
2- mnapoona automatikali mnakuwa siku za mwanzo mnafanya kila siku
3-kila nyumba nyuma ya mlango wa kuingilia masterbedroom kunakuwa na hanger ya nguo... uswazi kwetu kun akuwa na misumari imegongelewa nyuma ya mlango kama mi-3 hivi kwa ajili ya "kukabidhi nguo zako zote then unaingia kulala"
4-mara nyingi kiana mama ndio wanakuwa wa-kiendekeza ku-duu mara-kwa-mara kuliko wanaume except wanaume wa kipemba
5-mara nyingi wanaume kwa asilimia 99 huwa ndio wa kwanza kutoka nje ya ndoa zao
hope i gave u the "TRUTH U R NOT READY FOR"...... ohhh marriage ..its a dirty job...but somebody gotta do it.
i see ..
Thanks PJ,Childish, AND bORING!
Unasikia kwa nani?
Unataka kuanzisha familia yako au ile ya KUSIKIA KWA WATU?
Na ijulikane tangu sasa kuwa Familia inayoingia kwenye ndoa ni MPYA, na ina uwezowa kutunga mambo yake mapya kabisa bila kuiga kwa mtu!..
Wala usihangaike kutueleza kama utabandika ratiba au any crap of the type, we fanya kulekule kunako chumba mmalize huko!
Kama ni mumeo wa ndoana unampenda, haifai kuja kuzungumzia hapa ratiba uliyobandika, wala utakachofanya,..maana wazoefu wa taasisi tunakuona kama teenager, and you just have wishes and dreams that will never come true!'
Kwa ushauri zaidi mtafute member mmoja anaitwa MWANAJAMII'ONE akusaidie!
kwani we hupendi raha.
Remmy mdogo wangu,
Nadhani huyu Golder ana imani potofu (myths) nyingi kuhusu ndoa.....ni kati ya wale wanaodhani ndoa ni mateso....na huenda pengine hajapatapo wa kumpa/mwonyesha walau kiduchu maisha ya kulala na mwanaume hadi asubuhi yanavoweza kuwa matamu kama nyote mkiyapatia.
Golder na wengine wa namna yake wanadhani kufanya tendo tukufu la kukutanisha bailojia bado ni DHAMBI na kwa hivyo ile FACT kwamba mtakuwa mnafanya kadiri mnavojisikia bado haiingii akilini....
Cah kufanya hapo ni kwamba anatakiwa apate mtu wa kumbadilisha mind set yake ili atakapokuwa tayari kuingia huko, basi awe na a positive thinking kuhusu ndoa.....
WALLAH FINEST, Yaani unamualika huyo dude aliyesema yuko glad yeye si lady/girlCheck saa mida ya Pub imekaribia
comrade,Halafu alivyo na bahati watu wenye mauzoefu katika ndoa ndio tunamfaa zaidi kwa hili somo! Hebu malizia kabisa hapo hommie!:llama::llama::llama: