Pre GE2025 Wana-Ruangwa Wamshukuru Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (Mb)

Pre GE2025 Wana-Ruangwa Wamshukuru Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (Mb)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

Wana-Ruangwa Wamshukuru Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb)

"Kwa muungwana ukweli kwake ni ibada. Ni ukweli Usiopingika kwamba, kwetu Wana Ruangwa hatukudai. Karibu matatizo yote umeyamaliza, tulizobakiwanazo ni changamoto" - Wananchi Ruangwa

"Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Umetuheshimisha, umetupa thamani kubwa, umeongeza ubora wetu, umetufanya tuwe wa mfano" - Wananchi Ruangwa

"Wajibu wetu 2025 ni kukutunzia heshima yako na kukutambulisha ya kwamba Wana Rungwa ni waungwana, wanatambua mchango wako katika maisha yao." - Wananchi Ruangwa

EmnO4g2WEAIMgNj.jpg
 
Back
Top Bottom