Wana Simba hembu njoeni hapa tulijadili kundi letu.

Wana Simba hembu njoeni hapa tulijadili kundi letu.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kwa namna kundi letu lilivyo inahitajika nguvu ya ziada aiseeh, kutoboa hapa.

Kundi letu ni kama ifuatavyo:

Asec 4 pts
Galax 4 pts
Simba 2 pts
Wydad 0 pts

Imebakia jumla ya michezo minne ili kundi hili litamatike. Tukiangalia kwa jicho la kifutboli tunaona kabisa hao jamaa wawili hapo juu wana nafasi kubwa ya kusonga mbele kama watachanga karata zao vizuri.

Asec kabakiza mechi mbili nyumbani dhidi yetu na galax hapa akipata point sita huyoo anaenda, galax naye pia.

Simba tuna mechi mbili home tukishinda hizo kisha tukapoteza mbili za ugenini shughuli yetu itakuwa imeishia hapo 😥😥

Tunahitaji kushinda japo mchezo mmoja away kisha kushinda zote za nyumbani ili tujihakikishie kusonga mbele. Kazi ipo hapa kubwa sana, kwa timu tuliyo nayo.
 
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Belouizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
 
Kwa namna kundi letu lilivyo inahitajika nguvu ya ziada aiseeh, kutoboa hapa.

Kundi letu ni kama ifuatavyo:

Asec 4 pts
Galax 4 pts
Simba 2 pts
Wydad 0 pts

Imebakia jumla ya michezo minne ili kundi hili litamatike. Tukiangalia kwa jicho la kifutboli tunaona kabisa hao jamaa wawili hapo juu wana nafasi kubwa ya kusonga mbele kama watachanga karata zao vizuri.

Asec kabakiza mechi mbili nyumbani dhidi yetu na galax hapa akipata point sita huyoo anaenda, galax naye pia.

Simba tuna mechi mbili home tukishinda hizo kisha tukapoteza mbili za ugenini shughuli yetu itakuwa imeishia hapo 😥😥

Tunahitaji kushinda japo mchezo mmoja away kisha kushinda zote za nyumbani ili tujihakikishie kusonga mbele. Kazi ipo hapa kubwa sana, kwa timu tuliyo nayo.
Iyo ya kushinda away kwa timu mliyonayo muondoe izo ndoto za alinacha! Pigeni hesabu za kushinda nyumbani but away mtamfunga nani kwa mfano? Mtamfunga whydad au Asec mimosas?? Ni ngumu!
 
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Belouizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
Hapo Kwa Al ahly na Yanga mbona kama umeandika uongonpiga upya hesabu
 
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Belouizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
hivi wydad unawachukulia poa kwa sababu wamefungwa na galaxy?
 
Hapo Kwa Al ahly na Yanga mbona kama umeandika uongonpiga upya hesabu
AL AHLY kwenye game 4 zilizobaki atashinda game 2 na sare 2. Atamfunga Yanga na CR Belouizdad na atatoa Sare ugenini Vs Medeama na Vs CR Belouizdad

Yanga kwenye game 4 zilizobakia atashida game 3 na atafungwa game 1.
 
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Beluizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
Soka vidolen
 
ug
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Belouizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
ugumu wa kundi la simba upo kwenye KAMA WYDAD AKIKSEMA NIFE NA SIMBA ILI NITOBOE KUNDI hapo mambo ndipo yatakapoharibika zaidi
 
ug

ugumu wa kundi la simba upo kwenye KAMA WYDAD AKIKSEMA NIFE NA SIMBA ILI NITOBOE KUNDI hapo mambo ndipo yatakapoharibika zaidi
Na endapo akishinda dhidi ya Simba kule Morocco, kwa Mkapa atakuja kupambana sana apate tu sare inamtosha.
 
Ulivochambua kiwepesi sasa[emoji23]
Makundi ya Simba na lile la Yanga yote ni makundi Simple kutoboa, na wala sio hesabu kali na za kuombeana dua wala nini.
Kundi la Simba kwa namna yoyote ile, ASEC atashinda game 1 vs GALAXY na moja ni Sare, Simba atafute sare na ashinde ya home vs Wydad na kundi litakuwa hivi.
ASEC MIMOSAS 8
SIMBA SC 6
JWANENG 5
WYDAD 1

Game ya 5 Simba atakuwa ugenini vs ASEC wakati WYDAD atakuwa ugenini Vs JWANENG
Matokeo yatakuwa WYDAD atashinda hiyo game, huku Simba akipata Sare na kundi litakuwa hivi na hadi game ya 5 Asec itakuwa imefuzu kwenye hili kundi.
ASEC MIMOSA 9 (AMEFUZU)
SIMBA SC 7
JWANENG 5
WYDAD 4

Gama za Mwisho zitakuwa SIMBA vs JWANENG hapo Taifa na WYDAD vs ASEC pale Morocco
Matokeo yatakuwa walioko home watashinda wote na msimamo wa Mwisho wa kundi utakuwa hivi.
SIMBA SC 10 (AMEFUZU)
ASEC 9 (AMEFUZU)
WYDAD 7
JWANENG 5

Kwenye kundi la Yanga nako ni Jepesi zaidi.
Game day 3 itakuwa MEDEAMA VS YANGA, GHANA na AL AHLY VS BELOUIZDAD pale CAIRO then watarudiana baada ya wiki, matokeo kwenye hizo game AL AHLY atapata Point 4 na Yanga akipata 6
Kundi litakuwa hivi
AL AHLY 8
YANGA 7
CR BELOUIZDADA 5
MEDEAMA 3

Game day 5 Yanga atakuwa home Vs CR Belouizdad huku Medeama akiwa home vs Al Ahly na hizo game Yanga atashinda huku Medeama na Al Ahly wakitoka Sare na msimamo utasomeka hivi

YANGA 10 (AMEFUZU)
AL AHLY 9 (AMEFUZU)
CR BELOUIZDAD 5
MEDEAMA 4

Game za mwisho Yanga atafungwa na Al Ahly na Medeama akifungwa na CR Belouizdad na kundi litakuwa hivi

AL AHLY 12
YANGA 10
BELOUIZDAD 8
MEDEAMA 4
 
Game za kushinda ni 3


Wydad home
Jwaneng home
Asec away

Hapa tutakua tumemaliza kazi hiyo moja tutaacha yanga waicheze ili waongeze pointi zao😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom