Nimeona wachambuzi ambao mara nyingi wanaitakia Simba mabaya,wakihamasisha watazamaji na mashabiki wa Simba waingie na vitochi.
Ninaamini kwamba kuna fitna za nje ya uwanja.Lakini katu msije mkaingia katika mtego huu wa kipuuzi kisa eti kuweka record.
Simba imekuwa ikishinda uwanja wa nyumbani bila kuwasha vitochi.Hali hii msidhani inavumilika tu.
B
Mnaweza kuwa timu ya kwanza kuadbibiwa kwa kufanya vitu hivyo na kisha muwape maneno wapinzani wenu kabwili fc.
Hawa waandishi wanakula mlumgura kutoka kabwli fc Simba ishinde isishinde,wamejiandaa kuisema vibaya tu.
Ninaamini kwamba kuna fitna za nje ya uwanja.Lakini katu msije mkaingia katika mtego huu wa kipuuzi kisa eti kuweka record.
Simba imekuwa ikishinda uwanja wa nyumbani bila kuwasha vitochi.Hali hii msidhani inavumilika tu.
B
Mnaweza kuwa timu ya kwanza kuadbibiwa kwa kufanya vitu hivyo na kisha muwape maneno wapinzani wenu kabwili fc.
Hawa waandishi wanakula mlumgura kutoka kabwli fc Simba ishinde isishinde,wamejiandaa kuisema vibaya tu.