Wana Simba msiwe wepesi wa kusahau

Wana Simba msiwe wepesi wa kusahau

redio

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
5,813
Reaction score
12,921
Kuna video inayo tembea mitandaoni ikimuonyesha msemaji wa Simba akihojiwa na wanahabari.
Akiwa anajibu maswali juu ya malalamiko katika michezo iliyopita ya Simba dhidi ya Azam na Dodoma JiJi juu ya uamuzi mbovu wa marefa uliopelekea wao Simba kunufaika alisema

Pale Tff Kuna Sanduku la maoni kwaiyo wenye malalamiko juu ya maamuzi yasiyo ridhisha wapeleke kwenye ilo Sanduku.

Mimi nawakumbusha kwakua baada ya mechi ya Simba na Yanga yameibuka malalamiko kwa Baadhi ya Wana Simba dhidi ya waamuzi.
Ni vizuri wakafuata ushauri wa Kiongozi wao ndugu Ahmed Ally kupeleka malalamiko pale Tff katika Sanduku la maoni.
 
Kuna video inayo tembea mitandaoni ikimuonyesha msemaji wa Simba akihojiwa na wanahabari.
Akiwa anajibu maswali juu ya malalamiko katika michezo iliyopita ya Simba dhidi ya Azam na Dodoma JiJi juu ya uamuzi mbovu wa marefa uliopelekea wao Simba kunufaika alisema

Pale Tff Kuna Sanduku la maoni kwaiyo wenye malalamiko juu ya maamuzi yasiyo ridhisha wapeleke kwenye ilo Sanduku.

Mimi nawakumbusha kwakua baada ya mechi ya Simba na Yanga yameibuka malalamiko kwa Baadhi ya Wana Simba dhidi ya waamuzi.
Ni vizuri wakafuata ushauri wa Kiongozi wao ndugu Ahmed Ally kupeleka malalamiko pale Tff katika Sanduku la maoni.
Huko mbali san mechi ya ngao ya jamii juzi tu goli la Aziz na Pacome zilikataliwa wakati hawakuwa offside na Penalty ya Aziz,halafu refa huyo huyo aliye chezesha hiyo mechi akaenda kuchezesha mechi ya Azam akawapa magoli mawili ya offside, haya Dodoma Jiji wakapewa tuta ambalo mchezaji aliucheza mpira.

Bila kusahau Dube alikuwa mtu wa mwisho jana ila refa hakutoa kadi nyekundu. Halafu ule mpira wa jana sio kiwango chenu mmekamia, kiwango chenu halisi mtakiona ndani ya mechi hizi tatu zijazo za NBC.
 
Ahaha hunipati....🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
natamani ningekuona live sasahivi hapa ningecheza na shingo yako!, kwanini tunawafunga na hamtaki kukubali..?😂
 
natamani ningekuona live sasahivi hapa ningecheza na shingo yako!, kwanini tunawafunga na hamtaki kukubali..?😂
Siku tukikubali mjue mtadrop nyie tuacheni hivi hivi...😊😊😊😁
 
Siku tukikubali mjue mtadrop nyie tuacheni hivi hivi...😊😊😊😁
sasa ni hivi mtake msitake machinjio ni palepale kwa mkapa!,tunaua tunazika hapohapo hatusafirishi maana na sanda mmeshajivika tayari!.. tutahakikisha yule spider man wenu anakua nyumbu man!..😂
 
Back
Top Bottom