Wana Simba msiwe wepesi wa kusahau

Wana Simba msiwe wepesi wa kusahau

sasa ni hivi mtake msitake machinjio ni palepale kwa mkapa!,tunaua tunazika hapohapo hatusafirishi maana na sanda mmeshajivika tayari!.. tutahakikisha yule spider man wenu anakua nyumbu man!..😂
Sawaaaaa...umepewa mdomo mimi ni naniii nikupingeee...tutakutana tena bado ligi inaendelea...
 
Sawaaaaa...umepewa mdomo mimi ni naniii nikupingeee...tutakutana tena bado ligi inaendelea...
mtani hivi sasa huniwezi hiyo dabi nyengine utaweka mpira kwapani huku ukilia..😂
 
Msyyuu...yani juzi asingejifunga mngeambulia patupu...
tulijitahidi kitokuwafunga lkn uzalendo ukawashinda wenyewe mkaamua mjipachike!, achana na yajuzi linalokuja utalia nakusaga mapengo najua sasahivi hauna meno! so ni mwendo wa nyamnyam tu..😂
 
tulijitahidi kitokuwafunga lkn uzalendo ukawashinda wenyewe mkaamua mjipachike!, achana na yajuzi linalokuja utalia nakusaga mapengo najua sasahivi hauna meno! so ni mwendo wa nyamnyam tu..😂
😃😃😃nacheka kwa dharauuuu...
Kenzy kenyz nakuita mara mbili...nakusihi punguza mdomo mtani wangu utaumbuka...
 
😃😃😃nacheka kwa dharauuuu...
Kenzy kenyz nakuita mara mbili...nakusihi punguza mdomo mtani wangu utaumbuka...
leo najisikia kukutambia mpk ulie yanga bingwa yanga ni lidude likuubwa linapiga,linaua halafu linazika!
 
leo najisikia kukutambia mpk ulie yanga bingwa yanga ni lidude likuubwa linapiga,linaua halafu linazika!
Huyu huyu chura wa jangwani..mwenye kubebwa juzi...subirini maji mtaita mmaa...
 
Back
Top Bottom