Kweli humu makapuku ni wengi, sitaki kuamini 200K ndio imekuwa hoja humu.Hivi unajua gharama za Jersey og au izo za 35 ndio unajua ni og
Hata huko mlimani kuuza jezi za 250,000 ni kipengele. Hizi za 35,000 ni mbinde kweli kweli mkuu kama unavyosema.245,000/=
Hizi hapa za 35,000 zinatutoa jasho.
Umewahi kumiliki biashara yako mwenyewe na kuindesha?kwahy unataka kusema kuwa watu M60 TZ hakuna mwenye uwezo wa kununua jezi kwa laki 2? me nilidhani bilion huko hebu punguza dharau kama huna ni huna wewe.
Mchina ametuharibu saana waafrika.Hivi unajua gharama za Jersey og au izo za 35 ndio unajua ni og
Hata kama ni upigaji, Kanjibai amezidi jamani.Mo yupo nyuma pale, achana na kanjibai yule, akili mingi
toka nazaliwa sijawah kuajiriwa zaid ya biashara zangu mwenywUmewahi kumiliki biashara yako mwenyewe na kuindesha?
Ni billioni ngapi mkuuu????Hivi unajua gharama za Jersey og au izo za 35 ndio unajua ni og