Wana Simba SC hali si nzuri kwa Kesho ila Babu yangu yule wa Pemba Zanzibar kaniambia hili lifanyike haraka ili Nkana FC ' Afe ' kwa Mchina

Wana Simba SC hali si nzuri kwa Kesho ila Babu yangu yule wa Pemba Zanzibar kaniambia hili lifanyike haraka ili Nkana FC ' Afe ' kwa Mchina

Nitarudi katika Uzi huu SAA moja jion kesho ,napata uoga sana juu ya wachezaji wetu ..hawajitumi sana
 
Kwenye mpira hakuna uchawi ndg yangu ingekua ivo sumbawanga kungekua Ata na timu ligi kuu au kigoma ipandisha timu na kuchukua kombe kabisa
Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.

NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?

Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:

1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya


Akiba Wawe hawa wafuatao:

1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima


Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:

1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima


Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:

Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.

Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?

Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.

Tahadhari

Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.

Malizeni na hili.

Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.

Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.

Nawasilisha.
 
Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.

NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?

Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:

1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya


Akiba Wawe hawa wafuatao:

1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima


Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:

1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima


Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:

Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.

Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?

Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.

Tahadhari

Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.

Malizeni na hili.

Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.

Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.

Nawasilisha.
Kumbe kwenye mpira pia wanarogana? Hatari sana hii inanikumbusha ile cartoon fulani inaitwa EARLY MAN wachezaji wanafanya mawasiliano na Ancestors kabla ya mechi na mechi ilipoanza kunasehem golikipa alipelekewa shoot la kichawi kabisa maana mpira ulikwenda ukiwa unawaka moto kipa alipokinga mikono akapitiwa na lile shoot hata hadi kwenye nyavu na ushindi ukapatikana. Nadhani ile movie ya katuni inafanana na hii mikakati
 
Kumbe kwenye mpira pia wanarogana? Hatari sana hii inanikumbusha ile cartoon fulani inaitwa EARLY MAN wachezaji wanafanya mawasiliano na Ancestors kabla ya mechi na mechi ilipoanza kunasehem golikipa alipelekewa shoot la kichawi kabisa maana mpira ulikwenda ukiwa unawaka moto kipa alipokinga mikono akapitiwa na lile shoot hata hadi kwenye nyavu na ushindi ukapatikana. Nadhani ile movie ya katuni inafanana na hii mikakati

Ungekuwa umecheza mpira wowote wa ngazi za ' Mashindano ' kama UMISETA au UMISHUMTA au Timu za Mtaani za Ligi Daraja la Nne hadi la Tatu hapo usingeshangaa hiki ambacho unakishangaa sasa. Tuliocheza mpira tunajua linaloendelea / kinachoendelea.
 
Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.

NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?

Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:

1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya


Akiba Wawe hawa wafuatao:

1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima


Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:

1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima


Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:

Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.

Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?

Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.

Tahadhari

Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.

Malizeni na hili.

Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.

Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.

Nawasilisha.
Babu yako hakukwambia lolote kilichotokea kitwe Mkuu?
 
Ungekuwa umecheza mpira wowote wa ngazi za ' Mashindano ' kama UMISETA au UMISHUMTA au Timu za Mtaani za Ligi Daraja la Nne hadi la Tatu hapo usingeshangaa hiki ambacho unakishangaa sasa. Tuliocheza mpira tunajua linaloendelea / kinachoendelea.
UMISETA na UMITASHUMTA nimeshiriki lakini sikuona hayo mambo labda kwakua sikutilia maanani sana japo kunakipindi wachezaji wanaotakiwa kwenda kucheza walikua wakienda mtoni kuoga maji ya moto ambayo yalikua yanatoka pangoni, nadhani kulikua na maana yake
 
UMISETA na UMITASHUMTA nimeshiriki lakini sikuona hayo mambo labda kwakua sikutilia maanani sana japo kunakipindi wachezaji wanaotakiwa kwenda kucheza walikua wakienda mtoni kuoga maji ya moto ambayo yalikua yanatoka pangoni, nadhani kulikua na maana yake

Sasa umekataa nini na umekubali nini?
 
hahahahahaha! nasikitika kuwajulisha kuwa it is too late! ungesema mapema ili tuwape mganga wetu kwa muda apindue matokeo! anyway tusubiri matokeo, mpira ni dk 90
 
Mkuu gentamicin unajua kweli haya mambo maana mkude Jana nyota yake ilikua juu kawasumbua sana na kawapiga bonge la kamba, haya mambo ya ndani unayajuaje? Af wakati wanaingia nkana waliingia na ile staili yao kama wanapaka mafuta kichwani mkude akawaiga, je ilikua na mana yoyote?

Ni kweli mpira wa tz hua wanachanganya na ushirikina nilikua kiongozi timu moja ya ndondo mkoa flan kuna mechi mnaweza msiroge ila nusu au fainali yenyewe lazma kuroga. Kuna mwaka nilienda umiseta nikiwa nafundisha mchezo tofauti na soka, makocha wa timu ya mpira wa miguu ya mkoa wetu walikua wanavuka maji kwenda ukerewe kuchukua dawa. Madhindano yalifanyikia mwanza hivyo haikua mbali sana watu walienda asubuhi na meli ya saa mbili na kurudi saa tisa. Kilichonikera ni kuwapaka watoto madawa na kuwapa kubeba. Kwanza ukibeba mikoba ya timu unaweza kuumia vibaya au kufa kbs kama utagongana ama kugusana na mpinzani mwenye dawa ilozidi nguvu. Pili sipendi watoto wajifunze mpira na ushirikina labda waje wajifunze wakiwa watu wazima sio vzr mzazi kutoa mtoto wake kwenda kucheza af anarudi mshirikina. Niliwaambiwa wale makocha kama wanataka waroge ila wasiwahusishe kbs wanafunzi na nikawaita wanafunzi baadh nikawakataza kufanya lolote la kiganga watakaloambiwa. Nilisemewa kwa afsa michezo wa mkoa nikaambiwa ndio mwisho na mwanzo kupewa timu kwenda taifa
 
Back
Top Bottom