Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa Simba Mikia 3 Nkana 4Simba 3 utaki kalale
Wanazidiwa ujanja.Unafikiri timu nyingine haifanyi hayo mambo?hata timu yako inayo kwa sana tu.Eeeh hao Biashara kwenye ligi sasa hivi ni wangapi na mbona wanashindwa kupata ushindi hata Uwanja wao wa nyumbani?
Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.
NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?
Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya
Akiba Wawe hawa wafuatao:
1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima
Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:
1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima
Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:
Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.
Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?
Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.
Tahadhari
Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.
Malizeni na hili.
Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.
Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.
Nawasilisha.
😁😁👏 kwahiyo jamaa siyo mura mwenzangu?aiseee basi PK atakuwa ameshatufahamu hadi darini.
Kumbe kwenye mpira pia wanarogana? Hatari sana hii inanikumbusha ile cartoon fulani inaitwa EARLY MAN wachezaji wanafanya mawasiliano na Ancestors kabla ya mechi na mechi ilipoanza kunasehem golikipa alipelekewa shoot la kichawi kabisa maana mpira ulikwenda ukiwa unawaka moto kipa alipokinga mikono akapitiwa na lile shoot hata hadi kwenye nyavu na ushindi ukapatikana. Nadhani ile movie ya katuni inafanana na hii mikakatiTumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.
NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?
Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya
Akiba Wawe hawa wafuatao:
1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima
Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:
1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima
Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:
Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.
Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?
Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.
Tahadhari
Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.
Malizeni na hili.
Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.
Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.
Nawasilisha.
Kumbe kwenye mpira pia wanarogana? Hatari sana hii inanikumbusha ile cartoon fulani inaitwa EARLY MAN wachezaji wanafanya mawasiliano na Ancestors kabla ya mechi na mechi ilipoanza kunasehem golikipa alipelekewa shoot la kichawi kabisa maana mpira ulikwenda ukiwa unawaka moto kipa alipokinga mikono akapitiwa na lile shoot hata hadi kwenye nyavu na ushindi ukapatikana. Nadhani ile movie ya katuni inafanana na hii mikakati
Babu yako hakukwambia lolote kilichotokea kitwe Mkuu?Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna Mchezaji wao mmoja ' Mswahili ' mwenzetu amewashirikisha Watu wa Yanga FC na jana usiku hadi hivi naandika huu ' Uzi ' Watu hao wa Yanga FC wapo Sumbawanga kwa Mganga wao mpya ambaye ni ' Fundi ' hatari ili ' atuumize ' na ndiyo huyo anatupa taabu wana Simba SC hadi hivi sasa hilo Goli 1la Nkana FC bado linang'ang'ania na halitaki Kutoka.
NINI KIFANYIKE UPESI KWA MUJIBU WA BABU WA PEMBA ZANZIBAR ILI TUSHINDE KESHO?
Kwa ' Kinyota ' Kikosi cha Kesho kiwe hivi na msifanye kama ambavyo TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars walivyonibishia tukafungwa na Lesotho:
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Juuko Murshid
6. Jonas Mkude
7. James Kotei
8. Hassan Dilunga
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Shiza Kichuya
Akiba Wawe hawa wafuatao:
1. Deogratius Munishi
2. Pascal Serge Wawa
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Clatous Chotta Chama
5. Emanuel Okwi
6. Adam Salamba
7. Haruna Niyonzima
Ila Wachezaji wa kuwafanyia ' Sub ' Kipindi cha Pili wawe hawa tu pekee:
1. Clatous Chama
2. Emanuel Okwi
3. Haruna Niyonzima
Mchezaji ambaye anatakiwa Kesho abebe ' Mikoba / Uchawi / Ndumba ' ili aibebe Timu ni huyu:
Najua mara nyingi amekuwa ni mwoga na hapendi kabisa ila kwa ' Maslahi ' mapana ya Klabu yetu na kwakuwa Kesho Afe Punda Mzigo ufike hana jinsi ni Mdogo wangu Jonas Gerald Mkude ( na kama akikataa niambieni kwani najua ni wapi Mimi Kaka yake GENTAMYCINE nitakapommaliza na atatia adabu zake ) Nyota yake kwa Kesho iko vyema kwa 100% hivyo ' abebeshwe ' au kama mnaweza muishonee katika Jezi yake kama ambavyo tumekuwa tukimfanyia Yule Mchezaji wetu aliyetubeba sana Msimu ulioisha na tukawa Mabingwa.
Nini Kifanyike leo Usiku Uwanjani?
Mmiliki wa Uwanja wa Taifa ( Kwa Mchina ) tafadhali kwa leo utatusamehe kwani Simba SC sasa inawakilisha nchi hivyo tulia ' Wanamume ' tufanye Ulozi / Ndumba hapo Usiku na ukikataa ' tutakulaani ' sana. Wana Simba SC ambao hamna ' Uwoga ' kunahitajika leo ' Kuchinjwa ' Paka Watatu ( 3 ) nje ya Geti Kubwa, Mlangoni na karibia na Vyumba vya Wachezaji wa Nkana. Na sehemu ya Damu zao zinatakiwa zikamwagwe Uwanjani ila iwe ni Usiku wa leo tafadhalini.
Tahadhari
Kesho wakati wa mpira au kabla ya mechi Kuanza kuna Kitu kitatokea ila Wana Simba SC wote msiwe na Wasiwasi wala Kuogopa bali mtulie tu.
Malizeni na hili.
Mtafuteni Mtu yoyoye wa Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) ili Kesho kabla ya Mechi afanye Kila awezalo na akamshike mkono Mchezaji Mswahili / Mtanzania Ramazani Kessy ambaye ndiyo atabeba ' Mzigo / Uchawi ' kwa Timu ya Nkana FC Kesho ili ' Kummaliza ' kabisa au kama ataweza ' amkumbatie ' ili Kumfunga kabisa.
Yakifanyika haya yote kama nilivyoelekeza hapo juu Kesho kuna Goli Mbili ( 2 ) kwa Sifuri ( 0 ) na Simba SC tutavuka kwenda katika Makundi. Nawatakieni kila la kheri na Maandalizi mema ya ndani na nje ya Uwanja ila mkae mkijua kwamba Nkana FC nao ' Wameroga ' sana huku wakisaidiwa na Mganga mahiri wa Yanga FC aliyepo huko Sumbawanga.
Nawasilisha.
UMISETA na UMITASHUMTA nimeshiriki lakini sikuona hayo mambo labda kwakua sikutilia maanani sana japo kunakipindi wachezaji wanaotakiwa kwenda kucheza walikua wakienda mtoni kuoga maji ya moto ambayo yalikua yanatoka pangoni, nadhani kulikua na maana yakeUngekuwa umecheza mpira wowote wa ngazi za ' Mashindano ' kama UMISETA au UMISHUMTA au Timu za Mtaani za Ligi Daraja la Nne hadi la Tatu hapo usingeshangaa hiki ambacho unakishangaa sasa. Tuliocheza mpira tunajua linaloendelea / kinachoendelea.
UMISETA na UMITASHUMTA nimeshiriki lakini sikuona hayo mambo labda kwakua sikutilia maanani sana japo kunakipindi wachezaji wanaotakiwa kwenda kucheza walikua wakienda mtoni kuoga maji ya moto ambayo yalikua yanatoka pangoni, nadhani kulikua na maana yake
Bora yangu matokeo yanaonekana hadharani kuliko hao BiasharaWanazidiwa ujanja.Unafikiri timu nyingine haifanyi hayo mambo?hata timu yako inayo kwa sana tu.
Simba 3 utaki kalale