Suala siyo miaka,je ni kweli kasaini au vipi?Sisi tumezoea mkataba miaka miwili
Hizo ni tetesi tu japo nasikia yuko Dar na anasain miaka 3Hizi habari za Kahata kusaini miaka mitatu ni za Kweli?
Duh wewe sio simbaOkwi na Kagere umri umewatupa wakacheze veteran kwenye nchi zao hivi vikongwe!
UZEE DAWA HUJAWAONA GIROUD NA PEDROOkwi na Kagere umri umewatupa wakacheze veteran kwenye nchi zao hivi vikongwe!
Intelligence is better than age by KagereOkwi na Kagere umri umewatupa wakacheze veteran kwenye nchi zao hivi vikongwe!
Intelligence is better than age by KagereOkwi na Kagere umri umewatupa wakacheze veteran kwenye nchi zao hivi vikongwe!
Tayari ameshasainiHizo ni tetesi tu japo nasikia yuko Dar na anasain miaka 3
Okwi anaenda kaiza chiefs, kagere atazeekea pale msimbazi au labda kiwango kishukeOkwi na Kagere umri umewatupa wakacheze veteran kwenye nchi zao hivi vikongwe!
Wamesema wanahitaji wachezaji saba tu kwa mujibu wa ripoti ya mwalimu
Beki wa kulia, beki wa kushoto, wote wa kimataifa. Kutoka nnje
Mabeki wawili wa kati. Wote wa kimataifa kutoka nnje
Kiungo mkabaji mmoja wa kimataifa kutoka nnje.
Mshambuliaji mmoja wa kimataifa kutoka nnje.
Na winga mmoja wa ndani.
Itatisha wapi wewe,mikia mnakaa hapa kudanganyana na kusifiasifia tu,hamna lolote!Ndugu Eden kama hayo ndio mapendekezo ya benchi la fundi basi tutegemee Simba mpya tishio nje na ndani ya nchi. Kwa jicho la tatu niliona kwa mapungufu yaliyopo Simba kwa sasa ni wachezaji 10 wapya. Lakini benchi la ufundi kwa kuwa wao ni wataalam zaidi na wanajua zaidi wameona wachezaji wanaohitajika ni saba tu. Na iwapo watapata watu sahihi kwenye beki zote za pembeni,winga mmoja, mshambuliaji mmoja wa kati, beki za kati (pale yupo wa maana mmoja tu Erasto) na kiungo mkabaji mtu wa kazi basi Simba itatisha Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Watoto wa kike ndio wana wivu, sasa kama wewe ni wa kiume halafu unaleta wivu utaolewaItatisha wapi wewe,mikia mnakaa hapa kudanganyana na kusifiasifia tu,hamna lolote!
Hii ni habari njema sana.Tayari ameshasaini
Tayari huyo mambo ni freshiAlonazo taarifa za huyu jamaa Ange Baresi atupe japo dodoso!! Maana nasikia kesha saini simba!!
Simba hata wakimtengea 100m haitakuwa hasara,anafaa sana katika succession planKelvin John aka mbappe, huyu bwana mdogo ni super talented!! Sijui benchi la simba huwa halimuoni huyu kijana, ila ngoja tuone usajili umalizike
Simba hata wakimtengea 100m haitakuwa hasara,anafaa sana katika succession plan
Simba inaweza kuwa ngazi nzuri ya kuonekana kimataifa. Angekuwa ndugu yangu ningemshauri asaini hata bure ila mkataba uruhusu kutimka mda wowote,kama mkataba wa Kichuya ulivyokuwaDogo watu wake wanamdanganya atapata timu ulaya
Simba inaweza kuwa ngazi nzuri ya kuonekana kimataifa. Angekuwa ndugu yangu ningemshauri asaini hata bure ila mkataba uruhusu kutimka mda wowote,kama mkataba wa Kichuya ulivyokuwa
Nfikiri hana washauri wazuri, sasa huko nje watamuonaje bila kuwa na klabu