Kweli na ukizingatia wengi wanaiona mara moja kwa mwaka..kwani hadi Dk Hii haujui kwa nini mechi za mikoni watu wanajazana vile???
ok nakusaidia..wanajazana kwanza kwa kuwa timu inafanya vizuri..pili wanajazana kwa kuwa wanataka kuwaona wachezaji ambao wanaifanya timu ifanye vizuri..laiti kama timu ingekuwa kama Yanga ..nakuhakikishia hakuna ambaye angekuwa na mzuka na kuina timu ikicheza...
49 kwa 51 inawezekana mkuu?.. Hapa sijaelewaleo hii akiamua kuibadili jina timu..kwa kuwa anapesa ataitisha mkutano wa kikatiba ,pesa itatumika atabadili jina..rangi na jezi kabisa ...uzuri tushukuru hawezi kwa kuwa ni mwenzetu ila akiamua akasema nataka Simba iitwe Juvetus of Africa anaweza tuuu
Vipi wa dar wanashindwa nini kujazana kwa sababu timu inafanya vizuri??wenyewe ndo hawataki kuwaona wachezaji wanaosababisha timu ifanye vizuri...tatizo linalosababisha mechi zikose watu wengi hapo dar ni kuwa watu wa dar kwa kuwa simba ndo uwanja wake wa nyumbani na wanaiona inacheza kila siku basi hata hamu inapunguakwani hadi Dk Hii haujui kwa nini mechi za mikoni watu wanajazana vile???
ok nakusaidia..wanajazana kwanza kwa kuwa timu inafanya vizuri..pili wanajazana kwa kuwa wanataka kuwaona wachezaji ambao wanaifanya timu ifanye vizuri..laiti kama timu ingekuwa kama Yanga ..nakuhakikishia hakuna ambaye angekuwa na mzuka na kuina timu ikicheza...
Ni shabiki la Ombaomba fc...sema timu lake bovu ndo mana anaogopa kujitokeza hadharani...mfuatilie michango yake tangu mwanzoHv jamaa ni Yanga?
Huyu jamaa kesha uteka nyara uzi na kuubadili kabisaleo hii akiamua kuibadili jina timu..kwa kuwa anapesa ataitisha mkutano wa kikatiba ,pesa itatumika atabadili jina..rangi na jezi kabisa ...uzuri tushukuru hawezi kwa kuwa ni mwenzetu ila akiamua akasema nataka Simba iitwe Juvetus of Africa anaweza tuuu
Simba hadi sasa imefikia ukomo wa kusajiri wachezaji wa njee..so timu ikitaka kusajiri pro ni lazima waachwe wengine kama kina kwasi..Usajili ujao utahusisha sana wachezaji kutoka nnje, ndio maana nasema kama kuna wazawa watabaki, inabidi wapambane kwelikweli
Simba tutahitaji beki namba tatu kutoka nnje mkali
Tutahitaji mabeki wawili wa kati kutoka nnje wakali
Tutahitaji mawinga wawili wakali kutoka nnje
Tutahitaji pia mshambuliaji mmoja mkali kutoka nnje
Hii ni kama tunalitaka kweli kombe la ligi ya mabingwa Africa
pesa inaongea,,japo kisheria bin haki haiwezekani49 kwa 51 inawezekana mkuu?.. Hapa sijaelewa
point less ..shame on you..ingekuwa hivyo Old traford ,anfiled ,zisingekuwa vinajaa...jamani si mnaona aina ya wanaojiita mashabiki tulio nao...yani anawaza na kuwazua ujinga tuuu..hapo ndipo akili yako ilipoishia,,yani kweli kisa eti timu iko dar..mashabiki wanaiona kila siku hivyo hamu inapungua,,kweli we juha aiseee....ndio maana nasema kwa ushabiki wa namna hii uliokuwa nao wewe iwe Yanga au Simba mashabiki tuitafakari sana...kwa mantiki hiyo unataka timu mechi zote 38 iwe inacheza miko tofauti tofauti ili watu wawe na hamu ya kuiona ..kudadadekiVipi wa dar wanashindwa nini kujazana kwa sababu timu inafanya vizuri??wenyewe ndo hawataki kuwaona wachezaji wanaosababisha timu ifanye vizuri...tatizo linalosababisha mechi zikose watu wengi hapo dar ni kuwa watu wa dar kwa kuwa simba ndo uwanja wake wa nyumbani na wanaiona inacheza kila siku basi hata hamu inapungua
Wewe ndo sio mzima...tena mgonjwa wa akili 😂 😂 😂 😂 😂 ....yaani unakaa kabisa unapoteza mda wako unafanya comparison ya Mpira wetu na Mpira wa ulaya....Ulaya wametuzidi kila kitu kuanzia level ya uchumi na karibia kila kitu...kule wenzio hata level ya uchumi wapo juu ndo maana unakuta kiingilio mechi gharama ni kubwa weka kiingilio hata milioni moja uwanja utajaa sasa hapa bongo ukiweka milioni moja si uwanjani ataenda Mo peke yake...kule Arsenal na Manchester wanaweza kutoka kwenda kucheza mechi hata nje ya nchi na mashabiki watajaa watasafiri wengine....sasa chukua simba na yanga wakacheze mechi hapo tu Zambia uone uwanja kama utafikisha hata mashabiki mia...kwanza wenye uwezo wa kusafiri ni wachache sana uchumi zero....sasa wewe leo hii unataka kuchambua soccer la africa unatumia reference za ulaya...kule washatuzidi kila kitu....mwisho utaanza kutaka kulinganisha hospitali za bongo na ulaya...bara bara za bongo na ulaya kitu ambacho hakipo sawa...sisi washabiki wa hapa bongo tunajitahidi tu kutokana na hali na level yetu but usitake kufanya comparison na ulayapoint less ..shame on you..ingekuwa hivyo Old traford ,anfiled ,zisingekuwa vinajaa...jamani si mnaona aina ya wanaojiita mashabiki tulio nao...yani anawaza na kuwazua ujinga tuuu..hapo ndipo akili yako ilipoishia,,yani kweli kisa eti timu iko dar..mashabiki wanaiona kila siku hivyo hamu inapungua,,kweli we juha aiseee....ndio maana nasema kwa ushabiki wa namna hii uliokuwa nao wewe iwe Yanga au Simba mashabiki tuitafakari sana...kwa mantiki hiyo unataka timu mechi zote 38 iwe inacheza miko tofauti tofauti ili watu wawe na hamu ya kuiona ..kudadadekiu
Oky.. you know every thing broYou know nothing bro...game na Mazembe walijitokeza watu lakini hawakufanikisha kuujaza uwanja mzee baba..game ile iliingiza watu 46 elfu na kitu hivi...Man United anayetoa pesa nani kama siyo familia ya Glazer kupitia bodi ya utendaji chini ya Ed Wood? hukumbuki jinsi walivyokuwa wanabana kumpa pesa Jose za usajili msimu ulipita?hukumbuki tu mzee baba,,ile haina tfauti na Man City,Liverpool na klabu nyingi za Uingereza ambazo zinamilikiwa na familia ..tofauti na Spain ambapo ukiacha bodi za klabu wanachama wanaweza kupendekeza jambo lolote lile ata ikibidi usajili wa mchezaji.
unajua unapojitoa ufahamu ndio napozidi kukushangaa...kwa hiyo unataka kusema kiingilio cha tsh 2000 - 5000 kwa wiki kinakuwa kikubwa hadi kupepelekea uwanja kukosa walau watu 25000 tu ?yani hao tu kweli inashindikana kweli?Wewe ndo sio mzima...tena mgonjwa wa akili 😂 😂 😂 😂 😂 ....yaani unakaa kabisa unapoteza mda wako unafanya comparison ya Mpira wetu na Mpira wa ulaya....Ulaya wametuzidi kila kitu kuanzia level ya uchumi na karibia kila kitu...kule wenzio hata level ya uchumi wapo juu ndo maana unakuta kiingilio mechi gharama ni kubwa weka kiingilio hata milioni moja uwanja utajaa sasa hapa bongo ukiweka milioni moja si uwanjani ataenda Mo peke yake...kule Arsenal na Manchester wanaweza kutoka kwenda kucheza mechi hata nje ya nchi na mashabiki watajaa watasafiri wengine....sasa chukua simba na yanga wakacheze mechi hapo tu Zambia uone uwanja kama utafikisha hata mashabiki mia...kwanza wenye uwezo wa kusafiri ni wachache sana uchumi zero....sasa wewe leo hii unataka kuchambua soccer la africa unatumia reference za ulaya...kule washatuzidi kila kitu....mwisho utaanza kutaka kulinganisha hospitali za bongo na ulaya...bara bara za bongo na ulaya kitu ambacho hakipo sawa...sisi washabiki wa hapa bongo tunajitahidi tu kutokana na hali na level yetu but usitake kufanya comparison na ulaya
Mkude hafaiKweli jamaa hayuko vzr kama mwanzo.. mi nahisi game nyingi alizocheza na zakufatana after 2 days.
Kiungo waje Sure boy Na muda WA azamMzamiru yupo vizuri ila ndemla sina uhakika nae sana....simba inahitaji marekebisho sehemu chache but marekebisho yawe makubwa sana ya wachezaji wakubwa wa kimataifa....sehemu ya ulinzi na kiungo zipewe kipaumbele
Kotei yupo vizuri mkude Hamna kituWakuachwa: Zana,. Kwasi, juuko, bukaba, mbonde, mzamiru, mo Ibrahim, ndemla, salamba, mkude, kotei, Simba kwa Sasa imeyumba Sana kwenye eneo la kiungo,. Kotei na akina mkude wamefeli kabisa.
Kuna hisa asilimia 51 za wanachama umeshanunua au unajiita mwanachama tu, kumbuka sasa hivi sio elfu 2 tena kwa mwakaMzee Mimi sio kama nyie baadhi yenu hapa hata hamuichangii timu yenu..katika orodha ya wanchama 1000 wa kwanza wa SSC Mimi nipo..kadi yangu ya uanachama nalipia kila mwaka ..na sidaiwi mpka miaka mitano mbele...shame on you shabiki maandazi
Hivi wewe unajua kama kununua jezi tu ni moja ya chanzo cha mapato kutoka kwa fans!! Achilia mbali fans kujaa uwanjani, hata ulaya pesa huwa inarudi kwa kuuza jezi za team achilia mbali vitega uchumi vingineShekhe acha ushamba basi ndugu yangu...Mapato yenyewe milioni 300? unajua gharama za kuendesha timu mzee? bajeti ya Klabu yako ya Simba kwa mwaka huu ukitoa pesa za CAF ni Bilioni 6 kama sikosei..Vyanzo vyake kwa mujibu wa mkutano wa juzi ni Mdhamini ambaye ni Sportspes...na mikopo toka kwa watu na taasisi mbali mbali..
Yani hata hiyo get collection imewekwa mwisho kabisa kama vyanzo vya mapato vya klabu..kuiandaa timu hadi unaona wachezaji wanafika uwanjani pale si chini ya Milioni 50 kwa mechi moja kwa mechi za Dar..wewe unaleta hesabu za alinacha hapa..
Tuacheni ushabiki maandazi wazeee..pamoja ni kweli ligi yetu haina kitu wala hailipi kama zingine lakini mashabiki tukiplay part yetu vizuri mbona mamabo yanaenda mzee..tena kwa msimu huu ndio ungekuwa msimu wa kuichangia zaidi timu yetu,,lakini ona mechi ambazo mashabiki wamejitahidi kuvuka 25000 ni mechi mbili tu Simba na Yanga na Yanga na Simba..
kwa mfumo wa msimu huu timu mwenyeji anachuku mapato yote..so ni mechi moja tu ndio pengine timu wamejitahidi kurudisha gharama za maandalizi..mechi nyingie zote Hasara..
Walau tungekuwa tunajitahidi kwenye mechi zote za dar wadau tunajitokeza tuwanajaza dimba lile ,,tukipungua watu 35000 au 400000 huko hapo ungekuwa unangea ponit mzee
Simba haina mfumo wa kadi sasa hivi , wanauza hisa je wewe umenunua hisa na jua hisa moja kwa sasa inagonga mpaka hata 500,000 kwa mtu mmoja hununui hisa wewe sio mwanachama wa simbaMkuu kadi hadi sasa kwa taarifa nilizonazo tunazo watu si chini ya 12000 hadi 15000 hivi...kati ya hao unakuta wanaolipia kadi zao kila mwaka ni watu 500 hadi 1000 unategemea timu itaendelea vipi hapo mzeee???? ok wewe unakadi sawa,,kadi yako mara ya mwisho kulipia ilikuwa lini?kama sio kwenye mkutano wa juzi ???
Wangapi hawana kadi na uwanjani wanaenda? Acha kujidhalilishaNasikitika kukuambia kuwa unashindwa kunielewa..lakni pia unashindwa kuelewa maana halisi ya kadi hizi za uawanachama..kwa jinsi navyoelewa hadi kufikia hatua ya kuwa unania ya kupata kadi inamaana uko tayari kwa lolote,,yani unakuwa miongoni mwa jamii husika..
Inapotokea timu inacheza ,,kama kweli wewe ni mwanasimba na unakadi hutaacha kwenda uwanjani kutazama chama lako ..labda uwe unaumwa ama upo nnje ya eneo kikazi..
Tofauti na shabiki..shabiki ni kama wale wanaobishana na kutoa maoni kama hivi tunavyofanya hapa kwamba nani aachwe nani asajiliwe..shabiki yeye kazi yake ni hiyo tu basi,,anaishia kuwaona wachezaji kwenye tv au magazeti,,sasa mtu kama huyu ni sawa na KUPE tu..
Wapo kweli mashabiki wanaojitoa kwa timu..timu hata iende wapi nao wapo ..timu hata iwe mbovu kaisi gani lakini yeye uwanjani lazima awepo ..mtu kama huyu ukichunguza kwa makini anakadi yake ya uanachama na anailipi kila mwaka..ndio maana anaona uchungu...
leo kama ni shabhi hapa utaona kuna wanaojiita mashabiki wa Simba hapa wanasema mtu kama Kotei eti aachwe,,ukimuuliza kwa nini sababu yao etu amechoka...?sasa unajiuliza yeye Kotei asichoke amaekuwa mashine au roboti?hao ndio mashabiki maandazi kazi yao ni kufuata upepo na hawana faida kwenye timu .
hao ni kupiga porojo ambao inatakaiwa ifie mahali mfumo uwateme
We una matatizo wewe, hivi unafikiri kama Uganda angekuwa anahitaji point sisi tungeshinda ile match pamoja na nyomi la watu!?fungua akili na unielewe usitake kushupaza shingo itavunjika ndugu...mashabiki wa Tanzania hawana msaada na itaendelea kuamini katika hilo,..haijalishi hata kama watalipa kiingilio cha laki kwa mechi..wengi wetu hatujui kuzipa hamasa timu(hii ni mada nyingine)
Unapaswa ujue faida ambazo klabu inazipata kulingana na mashabiki wake
Moja..kiuchumi- kwa maana hapa mashabiki watalipa viingilio na kununua bidhaa za klabu so klabu itanufaika sana na kuweza kujiendesha..mfano klabu kubwa zinavyofanua huko ulaya..
Pili - Hamasa- klabu inapokuwa na mashabiki wenye hamasa..hata kama hawatalipa viingilio kuingia uwnajani..wakawa wanaingia buree tuu ule uwepo wao tu uwanjani ni hamasa tosha ya kuwafanya wachezaji kujua jukumu lao..na matokeo ya hili ndio timu kushinda mataji mbalimbali ambayo yanathamani kubwa za pesa...
Sasa mashabiki wa Kitanzania huko kote hawapo..hawapo katika mashabiki wenye faida za kuchumi au hamasa...na hapo ndipo tulipokwama..wewe unafikiri ile mechi ya kwanza ya Afcon u 17 kati ya Serengeti na Nigeria uwanja mzima ungekuwa unashangilia Dk zote 90 kwa kupokezana ufikiri kama madogo wangejiona wana deni na wangepambana kulilipa..lakini matokeo yake ikawaje?
Mfano mdogo ni mechi ya Stars dhidi ya Uganda..ile mechi pamoja na kwamba Uganda walikuwa hawana cha kupoteza lakini Uwepo wa nyomi la Mashabiki pamoja na Kelele za Dk 90 uliwafanya Stars wajione wanadeni..deni kubwa katika maisha yao..yani kiuhalisia mioyo yao ilikuwa imejizatiti kufia uwanjani..
sasa aina hiyo ndio tunaikosa ..nina hakika mechi na Mazembe..mashabiki wangefurika,,japo walijitokeza ila hawakufurika uwanja mzima,,kelele za hamasa na amsha amsha zingekuwa nyingi..Mazembe angekufa si chini ya Goli 3 hapa TZ