Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mo Dewji ameposti katika page yake kuwa anajiandaa kusafisha wale wote wanaonekana hawaendani na mipango yake na watamuangusha, ameona akiendelea kupanda chombo kimoja na watu wanaotaka kuzamisha mtumbwi walioupanda, atakufa, ni afadhali awazamishe ili aendelee na safari, cha msingi namshauri Mo Dewji, mkutano mkuu maalum unahitajika ili akawaeleze viongozi wote wanaoivuruga Simba kwa maslahi yao binafsi, moyoni kama watu vile kumbe hakuna kitu, vunja bodi hiyo tajiri na kisha mwagize Ceo aitishe mkutano tuweke wajumbe wapya wasiopiga dili