Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Simba guvu moyaaWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Sisi wanasimba tunajivunia sana kocha wetu huyu Fadlu Davids. Tunaomba uongozi umuache aendelee kukinoa kikosi chetu kwani tuna Imani naye. Mwaka huu ubingwa ni wetu msimbazi.
Naomba kuwasilisha
View attachment 3083440
Kinyumenyume hadi mechi za kirafiki, alafu kule South Africa mlikuwa mnafanya nini kwenye uwanja wa kaizer hadi mkalipishwa dola elf 10?Mungu baba Ibariki SIMBA.. Sisi SIMBA huwa hatufanyi makafara ya damu na kuwalisha wanachama nyama zilizofanyiwa uganga na ulozi
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Sisi wanasimba tunajivunia sana kocha wetu huyu Fadlu Davids. Tunaomba uongozi umuache aendelee kukinoa kikosi chetu kwani tuna Imani naye. Mwaka huu ubingwa ni wetu msimbazi.
Naomba kuwasilisha
View attachment 3083440
Kagera sugar au tabora united na fountain gate, uzuri mechi za kimataifa akuna kuzuia wachezaji kucheza, mtapigika mpaka akili iwakae sawaKocha anajielewa mfano ni mechi ya leo hichi ndio kipimo halisi cha Mechi za Kimataifa zinazokuja Kwa Simba sio kina Kagera sugar.
Kama Al Hilal walivyowapiga mkapigika?Kagera sugar au tabora united na fountain gate, uzuri mechi za kimataifa akuna kuzuia wachezaji kucheza, mtapigika mpaka akili iwakae sawa
Hapa nimezungumzia supu na damu ya kafara vitu ambavyo ni halisi na sio mambo ya kufikirika na kubahatishaKinyumenyume hadi mechi za kirafiki, alafu kule South Africa mlikuwa mnafanya nini kwenye uwanja wa kaizer hadi mkalipishwa dola elf 10?
Hamsaa inamaanisha niniNgoja kwanza tukutane tukupigeni 5 ndio tutaona kama kweli huyo kocha mnamuamini