Tanzania Norway
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 321
- 640
Nyie mnaopita mlango usio rasmi miaka na miakaKinyumenyume hadi mechi za kirafiki, alafu kule South Africa mlikuwa mnafanya nini kwenye uwanja wa kaizer hadi mkalipishwa dola elf 10?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnaopita mlango usio rasmi miaka na miakaKinyumenyume hadi mechi za kirafiki, alafu kule South Africa mlikuwa mnafanya nini kwenye uwanja wa kaizer hadi mkalipishwa dola elf 10?
Ushirikina mpaka kwenye mechi za kirafiki,timu yenyewe haishiriki ligi yoyoteNyie mnaopita mlango usio rasmi miaka na miaka
Ndio mroge hadi mechi ya kirafiki?Nyie mnaopita mlango usio rasmi miaka na miaka
Sare ya wachezaji kumi tu, Al Hilal wangebaki 11 ingekuwa balaa.Kwakuwa umebahatisha sareee auuu?