Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha.....hahahahahaNa ndiyo maana nawaambiwa wana Simba SC Wenzangu kuwa tukiitwa Mbumbumbu ( Mijuha ) na Yanga SC tusikasirike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha.....hahahahahaNa ndiyo maana nawaambiwa wana Simba SC Wenzangu kuwa tukiitwa Mbumbumbu ( Mijuha ) na Yanga SC tusikasirike.
Mwekezaji mnakataje mizizi ?Kikubwa kukata mzizi mkuu wa shida ambao ni kuanzia Uongozi mpka mwekezaji
Na ndivyo nilivyo Mkuu hata katika Uhalisia wangu wa Kimaisha na huenda ndiyo maana WAPUMBAVU wananichukia sana.Huna baya pure talented charismatic fella yaani hutaki unafiki
Kama kuna Mtu ambaye nitafurahi nikisikia Kaondoka Simba SC ni Mwekezaji Mwongo Mwongo ( Samjo Samjo ) Mo Dewji.Kikubwa kukata mzizi mkuu wa shida ambao ni kuanzia Uongozi mpka mwekezaji
Wenye Akili hili tulilujua mapema tu. Kwa ushahidi utafute Uzi wangu wa mwaka Jana msimu ulipoanza katika zile Mechi za mwanzo nilisema hapa hapa JamiiForums kuwa Yanga SC anaenda kuwa Bingwa tena kwa huu Msimu mwingine kutokana na Jicho langu Tukuka la Kiufundi lilivyoona.Jaribuni tena mwakani kwa sasa wananchi ndiyo mabingwa!