Wana-uchumi: Dollar ndiyo inatumika katika manunuzi karibu Dunia nzima. Niaminishe USA ha-print pesa na kuzisambaza soko la dunia kupitia manunuzi!!!

Wana-uchumi: Dollar ndiyo inatumika katika manunuzi karibu Dunia nzima. Niaminishe USA ha-print pesa na kuzisambaza soko la dunia kupitia manunuzi!!!

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Mataifa mengi yakitaka kununua vitu nje ya nchi yanahitaji Dollar ya marekani.

Marekani akihitaji kununua vitu anatumia Dollar. Kitu gani kitamfanya asi-print pesa zake anapohitaji kununua nje?

Tanzania hatuwezi ku-print pesa yetu maana hatuwezi kuitumia kununua mafuta let say Iran.

Kiuchumi ni kipi kitamfanya USA asi-print pesa zake ili asipate shida. Mtasema itasababisha inflation...pesa itazidi production...lakini hii pesa anayoprint kama haiingizwi kwenye soko la Marekani itaathiri vipi uchumi wao?

Marekani ana Kambi nyingi za jeshi lake nchi kibao duniani....unataka kuniambia wakihitaji pesa Kisha wakawa-print-ia itaathiri vipi uchumi wa marekani.

Niaminishe Marekani ha-print pesa zake anapokuwa na uhitaji.

Kuna watu watasema aki-print pesa zitarudi marekani nchi zingine zinaponunua vitu kwake na pesa dollar ikiwa nyingi duniani itakosa thamani....hapa itategemea na kiasi alichoprint....unapima uhitaji tu Kisha unaingia kwa photocopy unaingiza mkwanja Yemen.
 
Subiri wabobezi wa taaluma hiyo waje!

Lakini Putin aliwahi ishutumu Marekani kwa hoja hiyo! Ndio maana akataka watu watafute alternative currency ambayo itakuwa gold standard.
US dollar ni FIAT currency! Kimsingi hakuna kinachoizuia kufanya hivyo labda nadharia mfu za kiuchumi, na pengine hicho ndicho kinachoipa Marekani Ubabe wake wa Dunia kwa Sasa!
 
Subiri wabobezi wa taaluma hiyo waje!

Lakini Putin aliwahi ishutumu Marekani kwa hoja hiyo! Ndio maana akataka watu watafute alternative currency ambayo itakuwa gold standard.
US dollar in FIAT currency! Kimsingi hakuna kinachoizuia kufanya hivyo labda nadharia mfu za kiuchumi, na pengine hicho ndicho kinachoipa Marekani Ubabe wake wa Dunia kwa Sasa!
Nadharia zipi
 
Mataifa mengi yakitaka kununua vitu nje ya nchi yanahitaji Dollar ya marekani.

Marekani akihitaji kununua vitu anatumia Dollar. Kitu gani kitamfanya asi-print pesa zake anapohitaji kununua nje?

Tanzania hatuwezi ku-print pesa yetu maana hatuwezi kuitumia kununua mafuta let say Iran.

Kiuchumi ni kipi kitamfanya USA asi-print pesa zake ili asipate shida. Mtasema itasababisha inflation...pesa itazidi production...lakini hii pesa anayoprint kama haiingizwi kwenye soko la Marekani itaathiri vipi uchumi wao?

Marekani ana Kambi nyingi za jeshi lake nchi kibao duniani....unataka kuniambia wakihitaji pesa Kisha wakawa-print-ia itaathiri vipi uchumi wa marekani.

Niaminishe Marekani ha-print pesa zake anapokuwa na uhitaji.
Kuna vitu vingi tu vitaathirika kama bond markets, interests rates, savings, biashara, price and economic and stability, Dollar yenyewe kuaminika na nchi yenyewe kuaminiwa.
 
Kuna vitu vingi tu vitaathirika kama bond markets, interests rates, savings, biashara, price and economic and stability, Dollar yenyewe kuaminika na nchi yenyewe kuaminiwa.
Bora usingeandika....sielewi chochote...nimetumia lugha rahisi ili atakayekuja aelezeee.....

Kama hauelezei futa comment yako.
 
U.S ,ndo taifa pekee duniani linaloprint pesa zakwake

Chini ya idara mbili
1-US department of the treasure

Na idara inayodhibiti supply ya hizo pesa inaitwa

(2)The federal reserve

ni ngumu sana kufanya hilo jambo
 
U.S ,ndo taifa pekee duniani linaloprint pesa zakwake

Chini ya idara mbili
1-US department of the treasure

Na idara inayodhibiti supply ya hizo pesa inaitwa

(2)The federal reserve

ni ngumu sana kufanya hilo jambo
Kwa nini ni ngumu kufanya hili jambo? Kwasababu wanaidara inayodhibiti?

Kama sababu ni kuwa na idara inayodhibiti hii siyo sababu.....

Kwani iki-print haijui madhara yake kwenye taswira ya Dunia sasa kwanini watuonyeshe wana-print!!
 
Kwa nini ni ngumu kufanya hili jambo? Kwasababu wanaidara inayodhibiti?

Kama sababu ni kuwa na idara inayodhibiti hii siyo sababu.....

Kwani iki-print haijui madhara yake kwenye taswira ya Dunia sasa kwanini watuonyeshe wana-print!!
Naamini wanaprint kimya kimyah maana hakuna WA kumshauri na hela Yake inatumika world wide
 
Mataifa mengi yakitaka kununua vitu nje ya nchi yanahitaji Dollar ya marekani.

Marekani akihitaji kununua vitu anatumia Dollar. Kitu gani kitamfanya asi-print pesa zake anapohitaji kununua nje?

Tanzania hatuwezi ku-print pesa yetu maana hatuwezi kuitumia kununua mafuta let say Iran.

Kiuchumi ni kipi kitamfanya USA asi-print pesa zake ili asipate shida. Mtasema itasababisha inflation...pesa itazidi production...lakini hii pesa anayoprint kama haiingizwi kwenye soko la Marekani itaathiri vipi uchumi wao?

Marekani ana Kambi nyingi za jeshi lake nchi kibao duniani....unataka kuniambia wakihitaji pesa Kisha wakawa-print-ia itaathiri vipi uchumi wa marekani.

Niaminishe Marekani ha-print pesa zake anapokuwa na uhitaji.
ati marekani haprint pesa zake, alaaa!🐒
 
Bora usingeandika....sielewi chochote...nimetumia lugha rahisi ili atakayekuja aelezeee.....

Kama hauelezei futa comment yako.
Ni somo pana sana unataka lugha, jibu jepesi rahisi?

Kuna sheria lazima nchi ifuate hasa USA kama world reserve currency ili dunia iendelee kuwa na confidence and trust na USA. Ikifanya vitu kisirisiri itafunja hiyo trust and confidence. Unaweza kuandika gazeti kabisa. Madhara yake ni makubwa.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kuna vitu vingi tu vitaathirika kama bond markets, interests rates, savings, biashara, price and economic and stability, Dollar yenyewe kuaminika na nchi yenyewe kuaminiwa.

Mtu mwenye akili ni mtu ambaye anaweza kuelezea jambo gumu kwa kutumia maneno mepesi kwa mtu yeyote kuelewa.
 
Wanaprint then wanasambaza ,hakuna kanuni ya kiuchumi wanafanya zaidi ya hivyo ...Kuomba mikopo kwao ni lazima kwa sababu pesa wao wanaprint ,acha Africa wakope tu hamna namna.
Exactly 💯 japo wachumi wanaweza kuja na vijisababu ila hakuna Sababu maana yote tunayosoma yametokea kwao
 
Exactly 💯 japo wachumi wanaweza kuja na vijisababu ila hakuna Sababu maana yote tunayosoma yametokea kwao
Pesa zinamilika na wayahudi ambao wanaprint tu ,walishajengw mifumo ya bank .

Wakipeleka pesa kule israel wanasema mikopo ili kuipa pesa thamani isionekane kwamba imetolewa bure ...Kuna Rothschild hao wanatoka familia inayomilika pesa kama zote .

Waafrika hawawezi kujinasua kwa mikopo kutokana na mfumo wa banking na pesa ,hata wakusanye pesa kiasi gani lazima zitapungua kweny bajeti; kuna pesa zinapotea kwa kuchakaa na hatuna uwezo wa kuprint,kuna pesa vinachepuliwa kwenda kwenye mifumo isiyokuwa ramsi ,rushwa na utakatishaji wa fedha.

Mwisho wa siku lazima tukope tu .
 
Mtu mwenye akili ni mtu ambaye anaweza kuelezea jambo gumu kwa kutumia maneno mepesi kwa mtu yeyote kuelewa.
Tuanzie hapa wadau wengi wanahitaji dollar ili kununua USA assets, kama Bonds, Tresuary bills, stocks eg Tesla, Google, Apple, Amazon stocks, propeties na vitu vingine USA. Wengi wanawekeza USA ili kupata kipato cha uhakika cha mara kwa mara.

Uki-print money ukatumia kwenye nchi nyingine kwa mfano ambazo ziko hizo base inamaanisha unaongeza imports, dollar money supply kwenye hiyo nchi na nyingi zitarudi USA kununua vitu.

Mfano USA aka-print dollars atumie UAE. Atatumia vipi? Labda kununua silaha, huduma kwa wanajeshi wake kama chakula, afya, mafunzo, makazi nk.

Huduma kadhaa zinaweza kuwa zinatolewa na local people zingine na kampuni za USA mfano ununuzi wa silaha, mafunzo huduma za afya. Kwahiyo hilo pesa itarudi USA kupitia hapo.

Pia central bank za UAE zinaweza kuamua kutumia excess dollars kununua assets USA kama bond, stocks ili ku-maintain local price and currency stability, pesa yao mfano Dinar isipande thamani sana na kuifanya bidhaa zao zisiwe competitive. Pia hizo central bank zinaweza kuzirudisha USA kuwekeza kupata regular, predictable income.

Kumbuka kwenye vikao vya FED, ni lazima watoe taarifa juu ya inflation target yao, interest rate, money supply, hizo taarifa zitakupa mwanga FED ina- print money kiasi gani.
 
U.S ,ndo taifa pekee duniani linaloprint pesa zakwake

Chini ya idara mbili
1-US department of the treasure

Na idara inayodhibiti supply ya hizo pesa inaitwa

(2)The federal reserve

ni ngumu sana kufanya hilo jambo
Hata pesa wanaprit pesa na nimtu mmoja tu mwenye hayo mamlaka. Hiyo kazi inafanywa kwa uaminifu mkubwa. Makosa kidogo yataathiri vibaya uchumi wa nchi. Kuwa na pesa nyingi sio kukuza uchumi
 
Back
Top Bottom