hiyo ki2 ni according 2 tovuti ya chuo jombaa xo kaz kwako kuamini taarifa za chuo au za wa2Mbona mkanganyiko 2muamini nani? Ila kwa kuwa ipo official kwenye web wacha 2ichukue na kuiamini
ya tovuti ndo yenyewe ntayoamin mkuu
hiyo ki2 ni according 2 tovuti ya chuo jombaa xo kaz kwako kuamini taarifa za chuo au za wa2
ila ni vema kuripoti mapema na kuchuka form kabla hata ya tarehe coz hua kuna folen had unachukia
mkasome mambo ya kushinda mlimani city na mwenge muache. Pia muwe makini kimaadili maana watu wengi sana wamepitia hapo kama lowassa,mwigulu,jakaya,hosea,idrissa rashid balali.kawambwa
mkasome mambo ya kushinda mlimani city na mwenge muache. Pia muwe makini kimaadili maana watu wengi sana wamepitia hapo kama lowassa,mwigulu,jakaya,hosea,idrissa rashid balali.kawambwa
mimi nasisitiza maana hata dr asharose mingiro aliyechemka kule un pia alitokea haponani kakuomba ushauri bro?
mimi nasisitiza maana hata dr asharose mingiro aliyechemka kule un pia alitokea hapo
nikiriport mapema nitalala wapi na wkt cna ndugu yeyote hapo mjini?
mkasome mambo ya kushinda mlimani city na mwenge muache. Pia muwe makini kimaadili maana watu wengi sana wamepitia hapo kama lowassa,mwigulu,jakaya,hosea,idrissa rashid balali.kawambwa
.mi mwenyewe natafuta tarehe yakufungua manivi muccobs mnafungua lini?
dah we jamaa sasa unakera. Hivi ww UD ilikufanyaje? Comment zote we unakandia 2, au ulipania kwenda huko kipindi flan wakakupiga chini? Vp jistukie bna
huyu jamaa namfahamu,alidisco pale mwaka wa kwanza,inasemekana alipata sap 5 first semester.