Wana vipaji ila nidhamu na dharau vinawarudisha nyuma

Mbona wote hao umewahusisha na kujiunga usafini?
Ndo sababu ya kupotea kwao uki base upande mmoja upande mwingine wanakupotezea mwisho wa siku wote wanakuacha dilema unaanza upya
 
Ukifanya jeuri na clouds umeishAa
 
Nnachojua kutoka kwa baraka hana kiburi ila n mkweli na anamsimamo katka anachokiamini that's y anaonekana anakiburi🚮
 
Hatusomagi magazeti we endelea kukaza fuvu ila kibamia ni utopolo Tena grade one[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mleta mada umefanya makusudi au ndo bahati mbaya tu umejisahau??
Mbona hujamtaja RICH MAVOKO?
Huyu jamaa namjua personally yaani ana nyodo na jeuri Kama JIWE.
 
Ni miongoni mwa Wasanii wenye kiburi na majivuno.
 
Hapana sio kiburi umeshindwa kumsoma tu.
Alikiba ni mtu wa imani sasa ukitaka akunyenyekee au akutukuze au akupigie magoti na kumuonesha kwamba bila wewe hawezi kuishi hapo hamuwezi kuelewana.
Ukitaka kufanya naye kazi uwe wazi majukumu yako sio unataka uwe dalali au kishoka halafu umnyonye hamtaelewana
Ni miongoni mwa Wasanii wenye kiburi na majivuno.
 
Huyo ana imani gani? Wakati anatomba Sana dada zetu na kuzalisha wanawake ovyo bila ndoa
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Hata Mimi nilitaka kuuliza , mana kuna wasanii Wana biashara kubwa na hzo biashara ni Pasua kichwa Sana kuziendesha zinahtaj uwe busy Zaid ya maelezo lakn still wanagonga hits back to back ..... Sasa hzi za Alli Kiba duuh....
ndio maana anaishi mjini bila kuimba imba kila wakati.

au ulitaka kusikia anauza alkasusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…