KweliGoodluck sikumjua kabla ila alitaja nyimbo alizoandika na zingine kugonga beat nilimkubali
Moyo mashine wa ben pol.
Basi nenda wa mo music.
Zingine alikataa kutaja hata hvyo hizi alilazimishwa kutaja.
Bado tu ajajibrand vya kutosha. Ila mara nyingi wasanii wenye vipaji tofauti mf. Kuimba kuandika kuproduce (from sratch mpka output) hua hawapai sana fuatilia hata wa njee
Tofauti yao kati mke na mwanaume ni kuwa mwanamke yake iko wazi kabisaaa hata Rais Jiwe anaona anajisemea Kimoyoni '' Mmm! hapa dogo hamna kitu kijiflatii'' lkn me mwenye kibamia aaag! mpaka umfunue sasa ni leo! hapo ndo wanawake walishindwa kutushinda!!Mwanamke bila chura ni sawa na mwanaume mwenye kibamia
Hivi mnaweza maliza siku bila kututaja vibamia na wapiga nyeto. Yaani kila uzi lazima mtutaje nyuzi nyingine ata hazihusiani ila mnafosi kututaja. Mods tunaomba mshughurikie hii tabia. Asante.Mwanamke bila chura ni sawa na mwanaume mwenye kibamia
Ruby hopeless sana ndiyo maana hana chura
biashara zake wanazijua kiundani ndugu zake kwa sababu sio mtu wa kiki kutangaza kila kitu alichonacho
Kujua kutunga nyimbo na ujumbe ni tofauti na kipaji cha kuimba...Baraka kuandika hawezi , nyimbo zote zilizohit alitungiwa na king Kobra good luck gosbert eg siachani nawe, jichunge , mpak beat aligonga Goodluck kipind hcho anajiita lolypop , Goodluck ni nyoko huyu mwamba .....
Baraka ana kiburi na jeuri tuu Ila mashairi hawezi , ni kama Ruby , wanajivunia sauti .....
Hana Biashara yeyote hivi unahitaji kuyangaza Biashara kama WasafiTV, tofautisha Biashara na mambo ya Showoff Biashara ya maana huwezi ificha labda Genge la nyanya.