Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndo angekua mbali sana....anawavimbiaga hadi fans wake5. ALLY KIBA
hapo sawaNimekutaja aly kiba
Binadamu mko bias Sana alikiba yupo tofauti alishasema Mara nyingi yeye ameamua kua tofauti na mastar wengine ameamua kuishi kawaida kwaio hapendi kuexpose mambo yake Kama hayahusiani na kazi zake za music kwaio haiwezi ingia akilini kusema eti kwa level aliyopo Hana biashara yoyote ya kumuingizia pesa nje ya music .Hana Biashara yeyote hivi unahitaji kuyangaza Biashara kama WasafiTV, tofautisha Biashara na mambo ya Showoff Biashara ya maana huwezi ificha labda Genge la nyanya.
We unayoRuby hopeless sana ndiyo maana hana chura
Sio kilamuda ni wakutetea maslahi yako kwenye system ngumu ya Dunia tuliyonayo sasahivi ukiwa maskini kuwa chini kwa muda ili ufaidike baadae ndio busara Ruby nani we have dozen of scholars with high grade working without payment wanajua nini malengo yao na wanacholenga.Bongo kazi ipo kwakweli, rubi anatetea maslahi yake watu wanasema ana kiburi, yani matamasha yana wadhamini kabisa alafu rubi msanii mwenye kipaji mnataka kumpa pesa ambayo hawezi hata kurekodia studio!!
Huu mziki tuwage wawazi tu clouds hususani bwana Ruge na
chawa wake walinyanyasa sana wasanii, kina nandy wenyewe wali hit kwa kumpa mapenzi Ruge, bila hivyo wangeishia kuwa ma under ground tu.
Ruby hana kiburi bali alikuwa anajitetea, Mtu anaamua kutumia kipaji chake kutuburudisha kwanini tumwite ana kiburi anapotetea maslahi yake??
Goodluck sikumjua kabla ila alitaja nyimbo alizoandika na zingine kugonga beat nilimkubaliBaraka kuandika hawezi , nyimbo zote zilizohit alitungiwa na king Kobra good luck gosbert eg siachani nawe, jichunge , mpak beat aligonga Goodluck kipind hcho anajiita lolypop , Goodluck ni nyoko huyu mwamba .....
Baraka ana kiburi na jeuri tuu Ila mashairi hawezi , ni kama Ruby , wanajivunia sauti .....
Hii list ni batili kama #1 sio ALIKIBA1001.BARAKAH DA PRINCE
ni moja kati ya msanii aliyekuwa anakuja vizuri sana katika tasnia ya bongo fleva mpaka kuna kipindi alikuwa anahofiwa na wasanii wakubwa nchini lakini huyu jamaa ana jeuri kupitiliza, alishawahi kuandikiwa nyimbo na goodluck gozbert na akakana hamjui alipoulizwa.
Goodluck alishawahi kuthibitisha alipohojiwa kwenye kipindi na salama kwamba kuna wasanii aliwaandikia nyimbo ila wakihojiwa wanasema hawamjui mwisho wa siku akaja kupotea baada ya kuingia kwenye vita ya wafalme wawili wa bongo fleva (diamond na alikiba),
alidanganywa ajitoe rock star atasainiwa WCB akaanza jeuri kwa viongozi wake mwisho aliishia kufanya collabo tu romy Jones mpaka leo yupo anahangaika kurudi katika peak yake ya mwanzoni ila kipaji anacho jeuri ndo zinamrudisha nyuma.
2.RUBY
Kama kuna msanii wa kike alitakiwa awe billionaire kupitia mziki basi ruby alistahili nafasi hiyo kwa kipaji alicho barikiwa na mpaka sasa hakuna msanii wa kike anayemkaribia kwa kuimba,
ila jeuri ndo inamfanya asipige hatua kuna kipindi alishawahi kukataa kushiriki FIESTA ambayo inaandaliwa na CLOUDS watu wenye mchango mkubwa kwenye safari yake ya mziki lakini aligoma kwa madai ya pesa kidogo aliyopewa.
Ruby huyu huyu alishawahi kugoma kufanya video ya SU aliyoshirikishwa na ya moto band na ndo sababu iliyomfanya mpaka leo asijiunge na WCB,
maana wakati wanatafuta msanii wa kike chaguo la kwanza la diamond lilikuwa RUBY ila viongozi walikataa kwa madai ya kwamba hana nidhamu.
3.YOUNG KILLER
kipaji cha RAP MUSIC kilichopewa kisogo na wadau wa mziki kwa jeuri na kiburi alichonacho cha kuwasema na kuwachana baadhi ya wasanii wenzake.
Huyu kijana pia alitakiwa aende WCB kipindi wasafi wapo katika harakati za kumalizana nae akaanza matusi na dharau kwa CLOUDS hatimae wakamfungia vioo akawa karibu na wasafi mwisho wa siku sio CLOUDS wala WCB wote wamemfungia vioo,
yupo anapambana peke yake kwenye kiza kinene na amepoteza mwelekeo kwa siku za karibuni anatoa nyimbo bila mpangilio kwa kukosa mtu wa kumsimamia.
4.HANSTONE
mtoto wa marehemu banza stone aliyekuwa chini ya ABBAH PROCESS pamoja na marioo wengi tulimjua kwenye IOKOTE aliyofanya na mauwa sama na chibonge aliyo shirikishwa na marioo,
Huyu bado alikuwa na safari ndefu kwenye career ya mziki na mengi ya kujifunza kutoka kwa wadau wa mziki ila alianza kuharibu safari yake mapema baada ya kukataa kutoa ushirikiano kwenye video ya chibonge badala yake wakaifanyia remix na kuondoa sauti yake kwenye video.
Taarifa zilidai anaelekea wasafi ila mpaka leo haijulikani yupo chini ya nani na anafanya nini kuendeleza kipaji chake alicho nacho.
Ni kweli, hapendi show offALIKIBA ANA SHIDA GANI WAKATI TAYARI NI SUPERSTAR HUWA ANAAMUA TU KUPOTEA MWENYEWE MUDA WOWOTE ANAOTAKA KUTOKANA NA UBIZE WA BIASHARA ZAKE ZINGINE NA KURUDI KWENYE GAME MUDA ANAOTAKA.
TOFAUTISHA ALIKIBA NA HAO CHIPUKIZI WALIOTAJWA KWENYE UZI,ALIKIBA HAFANYI MUZIKI KWA SHIDA ANAPENDA KUBALANCE MAISHA.
LAITI KAMA ANGEAMUA KUTUMIA MIGUVU KAMA WANAYOTUMIA WASANII WENGINE HAKUNA MSANII YEYOTE WA BONGO ANGEMKARIBIA.
Huyo Hana uislamu wowotekama dada yako amejipendekeza mwenyewe kwa nini asitombwe?kwani ulisikia mtu mwenye imani hadindishi?
Rubby anajiamini na kusimamia Kile anachokiamini.Kuna faida gani ufanye show ambayo unanyonywa na kampuni ina wadhamini na show zinajaza?Binafsi napenda misimamo yake haina faida kuwa na jina kubwa wakati mfukon huna kitu.
Watetezi wa Ruby bhana huwa mnachekesha Sana🤣 ana nini cha kuringia huyo hata show ya laki mbili hapati ..... Na kumvimbisha kichwa huku ndo kulimponza ona sasa sa hv anatanga Tanga tuuu.....unaleta kibur wakat huna msingi wwte , ....hata Yesu aliwaambia wayahudi Kwa vile mnatawaliwa na Kaisari haijalishi mnanyonywa vipi lazima mlipe kodi Kwa Kaisari.....walitaka wajinasue Kwa nguvu wakat uwezo hawana , ndo ya Ruby hayo ..pimbi kabisa ....Bongo kazi ipo kwakweli, rubi anatetea maslahi yake watu wanasema ana kiburi, yani matamasha yana wadhamini kabisa alafu rubi msanii mwenye kipaji mnataka kumpa pesa ambayo hawezi hata kurekodia studio!!
Huu mziki tuwage wawazi tu clouds hususani bwana Ruge na
chawa wake walinyanyasa sana wasanii, kina nandy wenyewe wali hit kwa kumpa mapenzi Ruge, bila hivyo wangeishia kuwa ma under ground tu.
Ruby hana kiburi bali alikuwa anajitetea, Mtu anaamua kutumia kipaji chake kutuburudisha kwanini tumwite ana kiburi anapotetea maslahi yake??
Huyu jamaa bora AACHE MUZIKI TU....maana aibu inamnyemelea.5. ALLY KIBA
Aliheshimu maamuz ya Baracka na hakutaka kumharibia brand yake , mana baracka alikuwa anadai katunga mwenyewe wakat in reality siyo ..... Alikuwa anamtungia na beat anagonga ....sasa mwamba akawa anavimba kwenye media , Gosbert akaona isiwe tabu akamlindia heshima 🤣Goodluck sikumjua kabla ila alitaja nyimbo alizoandika na zingine kugonga beat nilimkubali
Moyo mashine wa ben pol.
Basi nenda wa mo music.
Zingine alikataa kutaja hata hvyo hizi alilazimishwa kutaja.
Bado tu ajajibrand vya kutosha. Ila mara nyingi wasanii wenye vipaji tofauti mf. Kuimba kuandika kuproduce (from sratch mpka output) hua hawapai sana fuatilia hata wa njee
Mbona unamjibu kwa hasira hivyo kama unataka kufa?Sasa umejuaje ana Biashara nonesense