appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
1. Jay Moe
Ana uwezo mzuri wa kutunga ana nidhamu mtaratibu ana busara lakini hajawai kua gumzo kwenye jamii kama wenzake alioanza nao pamoja kama mwana fa na nk
2. Q Chief
Alionja mafanikio kidogo kuanzia miaka ya 2003 mpaka 2007 baada ya hapo bundi akaaanza kulia upande wake mpala leo anaonekana kukata tamaa
3. Dark Master
Marehem mangwea alikua anambeba sana mtu huyu kama sio yeye angekua kimya kama alivyo sasa ila akifanya ngoma na marehem ngwea ilitoka poa sana refer she got agwan na bakora
4. KR Mullar
Anajiita jibaba cd mia saba njoo kichwa kichwa nikupe sa uso faba.jamaa kitambo sana lakini hana hit hata moja mpe kolabo hasa na watoto wenzake wa temeke utasimulia balaa lake
5. Nyandu Toz
Zamani alijulikana kama dogo hamidu, anajua lakini bahati ya kutoboa hana kabisa japo hategemei mziki kwa maisha yake lakini anaupenda ndio maana anatoa nyimbo kila siku
6. Suma Mnazaleti
Huyu aliamua kucha mziki ni juhudi za producer tu ndio zilimsihi arudi kwenye game aliamua kuchange kutoka hiphop mpaka bongolfavour lakini bado gundu limemganda sehem mbaya
7. Makamua
Wakali kwanza walileta ladha nzuri kidogo ya r n b kali kwenye mziki lakini baada ya kufa kama ilivyo kwa makundi mengi amekua anahangaika sana kwa kutafuta mpenyo lakini bahati sio rafiki yake tena
8. Gossy B
Alianza zamani kidogo japo sio sana lakini sidhani kama amewai kuingia hata top ten jamaa ana kipaji kwa nzuri na tamu lakini sio bahato
9. Pingu na Desso
jamaa wanajua hasa kwenye ragga na dance hall lakini bahati ndio tatizo au kuroga hawajui lakini hawasikiki
10. PNC
Sauti yake ni nzuri na anajua tatizo ni bahati tu kwake kitambo sana hasikiki msanii huyu
all right reserved
appoh(2014)
Ana uwezo mzuri wa kutunga ana nidhamu mtaratibu ana busara lakini hajawai kua gumzo kwenye jamii kama wenzake alioanza nao pamoja kama mwana fa na nk
2. Q Chief
Alionja mafanikio kidogo kuanzia miaka ya 2003 mpaka 2007 baada ya hapo bundi akaaanza kulia upande wake mpala leo anaonekana kukata tamaa
3. Dark Master
Marehem mangwea alikua anambeba sana mtu huyu kama sio yeye angekua kimya kama alivyo sasa ila akifanya ngoma na marehem ngwea ilitoka poa sana refer she got agwan na bakora
4. KR Mullar
Anajiita jibaba cd mia saba njoo kichwa kichwa nikupe sa uso faba.jamaa kitambo sana lakini hana hit hata moja mpe kolabo hasa na watoto wenzake wa temeke utasimulia balaa lake
5. Nyandu Toz
Zamani alijulikana kama dogo hamidu, anajua lakini bahati ya kutoboa hana kabisa japo hategemei mziki kwa maisha yake lakini anaupenda ndio maana anatoa nyimbo kila siku
6. Suma Mnazaleti
Huyu aliamua kucha mziki ni juhudi za producer tu ndio zilimsihi arudi kwenye game aliamua kuchange kutoka hiphop mpaka bongolfavour lakini bado gundu limemganda sehem mbaya
7. Makamua
Wakali kwanza walileta ladha nzuri kidogo ya r n b kali kwenye mziki lakini baada ya kufa kama ilivyo kwa makundi mengi amekua anahangaika sana kwa kutafuta mpenyo lakini bahati sio rafiki yake tena
8. Gossy B
Alianza zamani kidogo japo sio sana lakini sidhani kama amewai kuingia hata top ten jamaa ana kipaji kwa nzuri na tamu lakini sio bahato
9. Pingu na Desso
jamaa wanajua hasa kwenye ragga na dance hall lakini bahati ndio tatizo au kuroga hawajui lakini hawasikiki
10. PNC
Sauti yake ni nzuri na anajua tatizo ni bahati tu kwake kitambo sana hasikiki msanii huyu
all right reserved
appoh(2014)