Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
jay moe ni chuma kisichopata kutu ila kimekosa bahati
kuna mwanamuziki anaitwa omary mkali!huyu sijui niseme hana bahati au analazimisha fani kwani kitambo ni mwanamuziki lakini sijui hata wimbo mmoja unaitwaje ila najua kama jamaa ni mwanamuziki
Ondoa Dark Master na KR hao vipaji hamna na weka Jose Mtambo,Mack D, Imam Abbas, black rhino,mapacha
Ondoa Dark Master na KR hao vipaji hamna na weka Jose Mtambo,Mack D, Imam Abbas, black rhino,mapacha
mandojo na domokaya je?wimbo wa dingi hakika ulinibamba enzi zile.majina yao original plz
Umewasahau diana,sisa madini,Ally nipishe,pasha wanajuaa kuimba lakini hawapaiii
Soggy Doggy pia
Nashindwa niulizaje lakini kama niliwahi kusikia kuwa Mac D ni marehemu!! Au nimefananisha majina?? Pia Imam Abbas 'bendera ya bati mlingoti wa chuma' haimbi tena siku hizi.