Wana virusi!

Ni wazuri sana, ndio maana na Ukimwi ulitawala. nadhan ukimwi uliwapiga sana miaka ya 90-2000 katikat hapo sku hizi maambukizi yanapungua
Hilo halija kata interest zangu za kwenda kuwatembelea.
*nikirudi ntatoa mrejesho
 
Ni wazuri sana, ndio maana na Ukimwi ulitawala. nadhan ukimwi uliwapiga sana miaka ya 90-2000 katikat hapo sku hizi maambukizi yanapungua
Hilo halija kata interest zangu za kwenda kuwatembelea.
*nikirudi ntatoa mrejesho

hahhaaaaaaa mkuu sikushangai,hata nzi hufia kidondani atiii lol
 
hahhaaaaaaa mkuu sikushangai,hata nzi hufia kidondani atiii lol
Hahaha
Hapo sasa unanitisha.
Ujue kwenye nyuki wakali zaidi ndio asali tamu ilipo.
Mimi nimejitolea lazma nikawadake watoto wa Muswati.
 

Wengine wanazaliwa navyo, pole yake
 
Norton, Kaspersky, Avg kwani kazi zake ni nini? vipi body defender ni ki run wanatoka kwa njia ya jasho na mkojo..
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
watu wanaendelea kuathirika kwasababu ya tendo la maraha so endapo wanajua kuna magonjwa lkn bado wanaendelea pasipokuwa makini! that why hakuna mkate mgumu mbele ya chai..
Nimekuelewa thanks.
 
Cyo kwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…