Wana WCB.... nisaidieni hapa SIMBAA alikua akipafom wapi!?? Picha zinatrend tu ..ila sjajua ... Pls help.

Wana WCB.... nisaidieni hapa SIMBAA alikua akipafom wapi!?? Picha zinatrend tu ..ila sjajua ... Pls help.

Aache mziki akasome Madrasa atapata faida zaidi.
 
Hiyo kazi ni mikono ya Michael, a guy from Nairobi!!

Jamaa angekuwa yupo Tz, angefaa sana kuwa new Kifesi!
 
Alikiba nae alipiga show akiwa amevaa hivyo huko nairobi sema hapendi show off
 
Back
Top Bottom