Wana Yanga hii inawahusu

Nasikia yameshaisha eti Mtani. Ila nawaza tu ingekuwa nyie mngekubali?
Sisi hatuna neno mtani tuko very professional si unaona Logo ya CAF tuliivaa ya kijani kabisa.
.
Ninyi uswahili mwingi
 
Sisi hatuna neno mtani tuko very professional si unaona Logo ya CAF tuliivaa ya kijani kabisa.
.
Ninyi uswahili mwingi
Hizi nikauli zenu Mtani.

Ila niseme tu hao Vodacom wana lao jambo sababu sio kwamba ndio wanaanza kuidhamini TPL kwa mara ya kwanza.

Hii nyekundu wangeileta tangia mwanzo hapo sawa sasa umruhusu msimu huu avae nyeusi kisha mbeleni ulazimishe avae nyekundu huoni wanataka kuleta mkanganyiko.
 
Hivi mtani Timu zote za VPL mfano Azam fc, Kagera sugar, Mtibwa Sugar, Mbao fc, Singida united, Alliance fc, Mwadui fc, JKT Ruvu na wenzao wasiovaa jezi nyekundu ukiwaacha Coastal union n.k
.
Wakigoma kuvaa logo nyekundu ya Vodacom itakuwa ni ligi kuu au ligi ya mchangani?
.
Kipindi EPL inadhaminiwa na Barclays sikuwahi kuona eti timu haivai logo yao kisa ni ya blue. huu ni ushamba mtani kubali ukatae.
Watendaji wa Yanga ni washamba na waswahili sana mtu mkubwa kama Frederick Mwakalebela aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa TFF anakuwa na akili za kijinga kabisa.
.
Ndio maana soka la Tanzania halipigi hatua, kama ni mfatiliaji wa ligi anayocheza Samatta au ya Uholanzi jezi za wachezaji zimechafuka kwa majina ya wadhamini
 
Eti umesema huyo mwandishi ana akili timamu?Kitokee nini hadi mwanachama mwenye akili timamu aitakie timu yake laana ya kushuka Daraja? Huyo ama si mwanachama wa timu anayoitakia ishuke daraja, au hana akili timamu, au yote mawili kwa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…