kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mwezi wa 6 mwaka huu nilisema ni lazima Yanga atafika mbali kimataifa. Na siogopi kusema hivyo. Nilisema Yanga mechi za nyumbani atakuwa anafanya vibaya ila akifika ugenini ndiyo moto unatawaka.
Subiri sasa kwenye mechi ya marudiano kule Sudan, kuna watu watajiuliza imewezekanaje?
Ngoja tuone,
Ila tafuteni mabeki wazuri!
Subiri sasa kwenye mechi ya marudiano kule Sudan, kuna watu watajiuliza imewezekanaje?
Ngoja tuone,
Ila tafuteni mabeki wazuri!