GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Yaani kila nikitaka tu kusema Jezi za Yanga SC ni nzuri kuna Akili inaniija na kuniambia niachege Ujinga" Oscar Oscar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wa Shule ya Msingi Oscar Oscar ni mwana Simba SC? Mbona mwaka jana alipozisifia Jezi zenu hamkumchukia?Mafanikio ya Simba sasa hivi ni kupondea Jersey za Yanga.
Mafanikio ya Simba sasa hivi ni kupondea Jersey za Yanga.
Ndio kombe lenu hili
Ni hivi, huku nje ipambanieni jezi yenu kuwa ni kali sana na kuiponda SANDA ya Simba. Lakini mkiwa wenyewe huko ndani, mwambieni ukweli mkandarasi wa jezi kuwa hayo mabaka mabaka kwa kweli hayapendezi. Ile jezi nyeusi na tepe nyeupe hakika ni nzuri kwa kuwa haina painting za marangirangi kama zile mbili nyingineNdio kombe lenu hili
Mbona bado hamjasema?Ni hivi, huku nje ipambanieni jezi yenu kuwa ni kali sana na kuiponda SANDA ya Simba. Lakini mkiwa wenyewe huko ndani, mwambieni ukweli mkandarasi wa jezi kuwa hayo mabaka mabaka kwa kweli hayapendezi. Ile jezi nyeusi na tepe nyeupe hakika ni nzuri kwa kuwa haina painting za marangirangi kama zile mbili nyingine
Huu msemo ni wa ma house girlMbona bado hamjasema?
Bora mimi wa house girl, wewe ulichokiandika ni msemo wa mabeki tatuHuu msemo ni wa ma house girl