Wana Yanga SC hebu 'tuchangishane' upesi 'tukamlipie' Msemaji wetu Hassan Bumbuli 'Faini' yake TFF kwani GSM na Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile

Wana Yanga SC hebu 'tuchangishane' upesi 'tukamlipie' Msemaji wetu Hassan Bumbuli 'Faini' yake TFF kwani GSM na Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naomba ateuliwe Mwanachama Mmoja hapa na awe ni mwana Yanga SC Mwenzetu kabisa kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE ili tuweze kufanya 'Mobilization' ya 'Michango' hadi ipatikane Tsh Milioni Tano na 'tumkabidhi' Msemaji wetu Hassan Bumbuli ambaye Klabu yetu ya Yanga na hadi 'Wadhamini' wetu GSM chini yake Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile na Yeye Bumbuli nae hana hata Pesa.

Wanayanga Wenzangu hebu tufuteni 'Aibu' hii haiwezekani Msemaji wa Simba SC Haji Manara Yeye ameweze Kulipa 'Faini' yake ya Tsh Milioni Tano tena zote akizitoa katika Mfuko wake ( hajasaidiwa na Klabu yake ya Simba SC ) halafu Sisi wanayanga ambao tunajua kabisa kuwa Msemaji wetu Hassan Bumbuli ni 'Choka Mbaya' mno tunamuacha tu hivi hivi.

Inauma sana wanayanga Wenzangu na sijui ni kwanini Simba SC huwa 'inatushinda' kwa kila Jambo. au Yanga SC nayo iwe ndani ya Simba SC?
 
We mkia alikuambia bumbuli hana mil 5 nani?hela ishalipwa kitambo mbona au unataka tukuwekee na slip?
 
Naomba ateuliwe Mwanachama Mmoja hapa na awe ni mwana Yanga SC Mwenzetu kabisa kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE ili tuweze kufanya 'Mobilization' ya 'Michango' hadi ipatikane Tsh Milioni Tano na 'tumkabidhi' Msemaji wetu Hassan Bumbuli ambaye Klabu yetu ya Yanga na hadi 'Wadhamini' wetu GSM chini yake Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile na Yeye Bumbuli nae hana hata Pesa.

Wanayanga Wenzangu hebu tufuteni 'Aibu' hii haiwezekani Msemaji wa Simba SC Haji Manara Yeye ameweze Kulipa 'Faini' yake ya Tsh Milioni Tano tena zote akizitoa katika Mfuko wake ( hajasaidiwa na Klabu yake ya Simba SC ) halafu Sisi wanayanga ambao tunajua kabisa kuwa Msemaji wetu Hassan Bumbuli ni 'Choka Mbaya' mno tunamuacha tu hivi hivi.

Inauma sana wanayanga Wenzangu na sijui ni kwanini Simba SC huwa 'inatushinda' kwa kila Jambo. au Yanga SC nayo iwe ndani ya Simba SC?
Boss,

Mbna hela ishalipwa kitambo tu,sema ndo vile bumbuli hapendagi mipasho Kama haji.
 
Sisi Timu ya Wananchi Tulishaanza Kitambo kutembeza Bakuli kwa ajili ya Kumlipia Bumbuli.
Sisi Yanga Kindakindaki linalokuja suala la kuchanga huwa harushindwi.
 
Naomba ateuliwe Mwanachama Mmoja hapa na awe ni mwana Yanga SC Mwenzetu kabisa kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE ili tuweze kufanya 'Mobilization' ya 'Michango' hadi ipatikane Tsh Milioni Tano na 'tumkabidhi' Msemaji wetu Hassan Bumbuli ambaye Klabu yetu ya Yanga na hadi 'Wadhamini' wetu GSM chini yake Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile na Yeye Bumbuli nae hana hata Pesa.

Wanayanga Wenzangu hebu tufuteni 'Aibu' hii haiwezekani Msemaji wa Simba SC Haji Manara Yeye ameweze Kulipa 'Faini' yake ya Tsh Milioni Tano tena zote akizitoa katika Mfuko wake ( hajasaidiwa na Klabu yake ya Simba SC ) halafu Sisi wanayanga ambao tunajua kabisa kuwa Msemaji wetu Hassan Bumbuli ni 'Choka Mbaya' mno tunamuacha tu hivi hivi.

Inauma sana wanayanga Wenzangu na sijui ni kwanini Simba SC huwa 'inatushinda' kwa kila Jambo. au Yanga SC nayo iwe ndani ya Simba SC?
Bugati a.k.a. Dela Boss,anavyanzo mbalimbali vya kukuingizia kipato,mtu kila mwezi anakwenda kutumia Kwa mzee Mwai Kibaki,hawezi shindwa kulipa faini m5,kazi ipo kwetu MaKaBwEra wa jangwani,tunajua kupiga blaablaaa Sana,lakini mifukoni hatuna kitu,haya shine tumchangie H.Bumbuli a/c no,0009991936 JCB (jangwani community bank) tawi la Twiga au Mafia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
alipe milioni 5 za nini aendelee kupiga kazi kama kawaida TFF ni wapuuzi
 
nimesikiliza interview yake hapa clouds, anadai hyo faini ilishalipwa sasa anashangaaa imekuaje hvyo atakata rufaa
 
Inauma sana wanayanga Wenzangu na sijui ni kwanini Simba SC huwa 'inatushinda' kwa kila Jambo. au Yanga SC nayo iwe ndani ya Simba SC?
GSM hawakumtaka Bumbuli,mtu wao ni Juma Nugaz,ndio mana walimchunia Bumbuli afe kivyake
Sasa ni wakati wa Juma Nugaz kutangazwa kuwa msemaji rasmi wa Yanga,huyo Bumbuli akalime alikuwa hawajui yanga
 
Back
Top Bottom