Wana Yanga SC mlioko hapa JamiiForums ili niamini kuwa mna Akili na kweli mnazitaka alama 3 za mezani nijibuni haya maswali yangu

Wana Yanga SC mlioko hapa JamiiForums ili niamini kuwa mna Akili na kweli mnazitaka alama 3 za mezani nijibuni haya maswali yangu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni?

2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF?

3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda / ikashinda?

4. Bodi yoyote ile ya Ligi huwa inavunjwa katikati ya Msimu wa Ligi au Ligi ikiwa bado inaendelea?

5. Baada ya Mechi kuahirishwa na Bodi (TFF) nani aliwaambia Mechi imetangazwa kurudiwa Bunju mlikoenda?

6. Kama Bodi ya Ligi Kuu isipovunjwa na mkapangiwa Michezo yenu mtaacha kucheza au mtaendelea kucheza?

7. Kama Bodi ya Ligi (TPLB) ni Mali na sehemu ya TFF kwanini hamkuwalaumu TFF hasa Rais Karia na mmewalaumu tu Watu wawilia ambao ni mwana Yanga SC kindakindaki Mzee Steven Mguto na mwana Yanga SC lia lia mwenzenu Almasi Kasongo?

Wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums tafadhali tutulieni tusome majibu ya hawa walioshindikana Oky?
 
Swali la nyongeza.
Mbona wale mabaunsa waliowazuia Simba kuingia uwanjani, waliwaruhusu Yanga kuingia na walijua ya kuwa bodi ya ligi wameihairisha mechi?
Nuts wa Yanga SC wakikujibu hili Swali nakuomba Unitagi tafadhali.
 
Hakuna alama tatu za mezani. Vigezo na masharti ya kupata alama 3 kwenye mchezo wa juzi havijatimizwa. Shortly mchezo ulifutwa hadi siku nyingine.
 
Mliambiwa mfanye usajili mka puuzia, ona sasa mnavyo dhalilika na kukimbia mechi.
Bodi ya ligi imewabeba Karibu mechi kumi lakini bado imeshindikana.

Bodi ya ligi imekubali kuingia aibu ya Mwaka kwaajili yenu na bado mkicheza na Yanga mtafungwa hakika.

Kitu ambacho wengi hamfahamu, Goli mlizotakiwa kufungwa tarehe 8 zipo tu kwakua zilisha thibitishwa.

Siku yoyote mtayo ingia uwanjani zinakuja ku dhihirika tu hakuna atakaye zipondua labda mkeshe mkiomba Mungu.

Mtahangaika na vibabu vifupi ila mmesha nnasa.
 
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni?

2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF?

3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda / ikashinda?

4. Bodi yoyote ile ya Ligi huwa inavunjwa katikati ya Msimu wa Ligi au Ligi ikiwa bado inaendelea?

5. Baada ya Mechi kuahirishwa na Bodi (TFF) nani aliwaambia Mechi imetangazwa kurudiwa Bunju mlikoenda?

6. Kama Bodi ya Ligi Kuu isipovunjwa na mkapangiwa Michezo yenu mtaacha kucheza au mtaendelea kucheza?

7. Kama Bodi ya Ligi (TPLB) ni Mali na sehemu ya TFF kwanini hamkuwalaumu TFF hasa Rais Karia na mmewalaumu tu Watu wawilia ambao ni mwana Yanga SC kindakindaki Mzee Steven Mguto na mwana Yanga SC lia lia mwenzenu Almasi Kasongo?

Wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums tafadhali tutulieni tusome majibu ya hawa walioshindikana Oky?
Who do you think has time to answer stupid questions
 
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni?

2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF?

3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda / ikashinda?

4. Bodi yoyote ile ya Ligi huwa inavunjwa katikati ya Msimu wa Ligi au Ligi ikiwa bado inaendelea?

5. Baada ya Mechi kuahirishwa na Bodi (TFF) nani aliwaambia Mechi imetangazwa kurudiwa Bunju mlikoenda?

6. Kama Bodi ya Ligi Kuu isipovunjwa na mkapangiwa Michezo yenu mtaacha kucheza au mtaendelea kucheza?

7. Kama Bodi ya Ligi (TPLB) ni Mali na sehemu ya TFF kwanini hamkuwalaumu TFF hasa Rais Karia na mmewalaumu tu Watu wawilia ambao ni mwana Yanga SC kindakindaki Mzee Steven Mguto na mwana Yanga SC lia lia mwenzenu Almasi Kasongo?

Wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums tafadhali tutulieni tusome majibu ya hawa walioshindikana Oky?
Kuongezea kwanini walipeleka timu uwanjani ilihali viongozi wao walikuwa na taarifa toka bodi ya ligi mechi imeahirishwa!
 
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni?

2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF?

3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda / ikashinda?

4. Bodi yoyote ile ya Ligi huwa inavunjwa katikati ya Msimu wa Ligi au Ligi ikiwa bado inaendelea?

5. Baada ya Mechi kuahirishwa na Bodi (TFF) nani aliwaambia Mechi imetangazwa kurudiwa Bunju mlikoenda?

6. Kama Bodi ya Ligi Kuu isipovunjwa na mkapangiwa Michezo yenu mtaacha kucheza au mtaendelea kucheza?

7. Kama Bodi ya Ligi (TPLB) ni Mali na sehemu ya TFF kwanini hamkuwalaumu TFF hasa Rais Karia na mmewalaumu tu Watu wawilia ambao ni mwana Yanga SC kindakindaki Mzee Steven Mguto na mwana Yanga SC lia lia mwenzenu Almasi Kasongo?

Wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums tafadhali tutulieni tusome majibu ya hawa walioshindikana Oky?
Utaandika chochote JF ili wanaume tukupe attention.kihalisia kwenye real life ukiwa offline ni mtu mpweke nobody gives you attention hapa ndio sehemu pekee watu wanakuona 😅😅😅⚠️
 
Yaani kabisa GENTAMYCINE Mimi Genius nihoji Maswali ya Kimitego na yaliyoenda Shule halafu Nuts wa Yanga SC wajibu?
Kwani wewe mgeni hapa Tanzania? Manara alisema wenye akili utopoloni ni wawili tuu, kwanini unauliza wàna Yanga wote wakati unajua hawana akiki?
 
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni?

2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF?

3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda / ikashinda?

4. Bodi yoyote ile ya Ligi huwa inavunjwa katikati ya Msimu wa Ligi au Ligi ikiwa bado inaendelea?

5. Baada ya Mechi kuahirishwa na Bodi (TFF) nani aliwaambia Mechi imetangazwa kurudiwa Bunju mlikoenda?

6. Kama Bodi ya Ligi Kuu isipovunjwa na mkapangiwa Michezo yenu mtaacha kucheza au mtaendelea kucheza?

7. Kama Bodi ya Ligi (TPLB) ni Mali na sehemu ya TFF kwanini hamkuwalaumu TFF hasa Rais Karia na mmewalaumu tu Watu wawilia ambao ni mwana Yanga SC kindakindaki Mzee Steven Mguto na mwana Yanga SC lia lia mwenzenu Almasi Kasongo?

Wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums tafadhali tutulieni tusome majibu ya hawa walioshindikana Oky?
Mbona maswali yako yananipa mashaka na nilivyokuwa nakuchukulia kiuelewa?? Hivi kamati au management yoyote ikiproove wrong haiwezi kuvunjwa?? Nini maana ya kuvunjwa kama sio kukatisha muda wa uongozi wao??

Kushinda au kuto kushinda ni vielelezo ndo maana sio kila anayeenda jela ana hatia.

Kushinda au kushindwa. Rejea suala la Mbuyu Twite ( yanga- mbuyu twite - Simba

Simba -yondani -yanga.

Kushindwa kesi Moja haimanishi ukae kimya ukionewa.
 
Kwani wewe mgeni hapa Tanzania? Manara alisema wenye akili utopoloni ni wawili tuu, kwanini unauliza wàna Yanga wote wakati unajua hawana akiki?
Vipi aliyesema wote mbumbumbu bila exceptional Tena kauli ya mwenyekiti Ina mashiko haswaaaa kuliko msemaji
 
Back
Top Bottom