Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
huyo jamaa waliomucha simba hamna kitu umo bora angechukuli aiyee badala yakeMUNGU
ibariki yanga
MUNGU
ibariki Tanzania
Zamu ya mchezaji kuonyesha uwezo wake
Timu ishindeView attachment 1188868
Uyu ndo alishindwa majaribio pale msimbanzi au??????? 😁😁MUNGU
ibariki yanga
MUNGU
ibariki Tanzania
Zamu ya mchezaji kuonyesha uwezo wake
Timu ishindeView attachment 1188868
Kuna mhariri mmoja aliulizwa kwanini front pages nyingi inaandikwa sana yanga alijibu mashabiki wa yanga ndio wanunuaji wa magazeti kuliko wa simbaSasa kama ulijua kuwa mpira una Matokeo hayo matatu kwani Viongozi wetu wanatumia Pesa za Klabu vibaya kwa Kuwahonga Waandishi wa Habari wa Magazeti ya Michezo ( hasa Wahariri wao ) wawe kila Siku wanaandika tu Vichwa vya Habari vya Kuipamba na Kuikuza Yanga SC yetu wakati ukweli ni kwamba Timu yetu kwa sasa haina hizo Sifa ambazo inapewa na hayo Magazeti hasa ya Mwanaspoti, Bingwa / Dimba na Championi?
Nilitaka nikutukane tusi moja baya sana ila nikakumbuka nimetoka kupigwa ban wiki moja iliyopita. Hv kama mpira ujui sibora ukae kimya? Zimbabwe imeingiaje hapo kwa mfano? Na ngoja niwaambie wana simba mmejitaidi kutusurubu mitandaoni ila mungu yupo nasisi mark my words yanga itapita kule Botswama alafu nyie kesho mnakufa taifa labda sio mm.Ukweli utakuweka huru.... Ni wana Yanga wenye uthubutu kama wako...
Taifa linaenda kupata aibu nyingine huko Zimbabwe
Na account yake mpya siyo!?Wewe Sio Yanga na hujawahi kuwa Yanga, nani asiyejua wewe ni Simba kindaki kindaki.
Inawezekana, wanayanga wananunua sana magazeti kwa sababu wanasimba wanapata real information Kwenye vyanzo halisi vya simba, tofauti na Yanga wanaosubiri hadi wadanganywe na magazeti.Kuna mhariri mmoja aliulizwa kwanini front pages nyingi inaandikwa sana yanga alijibu mashabiki wa yanga ndio wanunuaji wa magazeti kuliko wa simba
Hivi match saa ngapi wakuu?Inawezekana, wanayanga wananunua sana magazeti kwa sababu wanasimba wanapata real information Kwenye vyanzo halisi vya simba, tofauti na Yanga wanaosubiri hadi wadanganywe na magazeti.
Sasa ka Mimi mwanasimba napata habri zote za simba Kwenye social network za simba, nitaanzaje kununua old information Kwenye magazeti
Kweli kabisa 👍👍...Habari nyingi za michezo ni za uzushi, kupamba, sifa za uongo, mzaha, mipasho mipasho na zinazokosa uchambuzi wa kina...
Mkuu tusiombeane Dua mbaya ! Vilabu vyote vinawakilisha nchi kwenye hii michuano.Na ngoja niwaambie wana simba mmejitaidi kutusurubu mitandaoni ila mungu yupo nasisi mark my words yanga itapita kule Botswama alafu nyie kesho mnakufa taifa labda sio mm