Wana Yanga SC tukutane hapa ili tuanze Kutengeneza na Kubuni mapema sababu ya Kipigo tutakachokipata leo huko Botswana

Wana Yanga SC tukutane hapa ili tuanze Kutengeneza na Kubuni mapema sababu ya Kipigo tutakachokipata leo huko Botswana

Ndiyo maana naipenda Yanga SC yangu. Aliyesema Yanga SC havuki nani? Haya sasa Yanga SC ndiyo tumevuka hivyo tunamngojea ajae hata kama wakiwa ni wanaojua Mpira Simba SC nao waje tu. Chezea Balinya na Sibomana Wewe? Kuanzia leo Mechi zote Yanga SC itashinda na tunaenda kuwa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho hili na kwa Yanga SC hii ya leo hata wakija Liverpool au Barcelona au PSG au AC Millan wanapigwa tu. Leo nina amani mno kwa Ushindi huu wa Timu yangu pendwa kabisa ya Yanga SC. Na nawaombeni sasa Viongozi wangu wa Yanga SC acheni ule mpango wenu wa Kumuondoa Kocha Zahera na Msaidizi wake Mwandila ili mumlete huyo Mserbia wenu na asaidiwe na Ambani sijui Mwalala kutoka Kenya. Kama kweli Yanga SC tunataka Kocha mzuri basi ni kheri tuwaombe Simba SC watuazime Makocha wao kwani watatupeleka mbali mno.
 
Yani mbumbumbu bhana unaandika kwa machungu na aibu.Aibu na kudharauliwa milele.Hii ndo Yanga Tunapindua mez kibabeeee.
Ndiyo maana naipenda Yanga SC yangu. Aliyesema Yanga SC havuki nani? Haya sasa Yanga SC ndiyo tumevuka hivyo tunamngojea ajae hata kama wakiwa ni wanaojua Mpira Simba SC nao waje tu. Chezea Balinya na Sibomana Wewe? Kuanzia leo Mechi zote Yanga SC itashinda na tunaenda kuwa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho hili na kwa Yanga SC hii ya leo hata wakija Liverpool au Barcelona au PSG au AC Millan wanapigwa tu. Leo nina amani mno kwa Ushindi huu wa Timu yangu pendwa kabisa ya Yanga SC. Na nawaombeni sasa Viongozi wangu wa Yanga SC acheni ule mpango wenu wa Kumuondoa Kocha Zahera na Msaidizi wake Mwandila ili mumlete huyo Mserbia wenu na asaidiwe na Ambani sijui Mwalala kutoka Kenya. Kama kweli Yanga SC tunataka Kocha mzuri basi ni kheri tuwaombe Simba SC watuazime Makocha wao kwani watatupeleka mbali mno.
 
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
zimia sasa
 
Mimi ni mwana simba kindaki ndaki lakini linapokuja swala la timu zetu kuwakilisha nchi nauvua usimba na kuwaunga mkono wale wote wanao wakilisha nchi.

Nimefurai sana matokeo aliyoyapata mtani wangu kanda 2 nawapongeza wana kwasu kwasu wote kwa ushindi wa leo ni heshima kwa taifa letu.

kwa wale wasiojua. Kwa yanga kushinda leo na kuingia raundi ya 2 tumeongeza poit 6 kwenye alama za CAF.

Na hata yanga wakitolewa raundi ya 2 moja kwa moja wanaingia makundi ya kombe la shirikisho, ni heshima kubwa kwa nchi yetu na tunazidi kutetea nafasi zetu 4 vizuri.

Pia nawatakia timu yangu ya Simba kesho izidi kutupa Raha watanzania. Na kwamoto wa simba kesho wasumbiji watatafutana kwa mkapa. Ahaaaaaaa Tanzania Hoyeeee. Yanga, Simba, Azam Hoyeeeeeeee. Tukutane kwa mkapa.
 
Ndiyo maana naipenda Yanga SC yangu. Aliyesema Yanga SC havuki nani? Haya sasa Yanga SC ndiyo tumevuka hivyo tunamngojea ajae hata kama wakiwa ni wanaojua Mpira Simba SC nao waje tu. Chezea Balinya na Sibomana Wewe? Kuanzia leo Mechi zote Yanga SC itashinda na tunaenda kuwa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho hili na kwa Yanga SC hii ya leo hata wakija Liverpool au Barcelona au PSG au AC Millan wanapigwa tu. Leo nina amani mno kwa Ushindi huu wa Timu yangu pendwa kabisa ya Yanga SC. Na nawaombeni sasa Viongozi wangu wa Yanga SC acheni ule mpango wenu wa Kumuondoa Kocha Zahera na Msaidizi wake Mwandila ili mumlete huyo Mserbia wenu na asaidiwe na Ambani sijui Mwalala kutoka Kenya. Kama kweli Yanga SC tunataka Kocha mzuri basi ni kheri tuwaombe Simba SC watuazime Makocha wao kwani watatupeleka mbali mno.
Mkuu kwani ulifundishwa uchawi ukiwa na umri gani?
 
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
Mchaw!
 
Mimi ni mwana simba kindaki ndaki lakini linapokuja swala la timu zetu kuwakilisha nchi nauvua usimba na kuwaunga mkono wale wote wanao wakilisha nchi.

Nimefurai sana matokeo aliyoyapata mtani wangu kanda 2 nawapongeza wana kwasu kwasu wote kwa ushindi wa leo ni heshima kwa taifa letu.

kwa wale wasiojua. Kwa yanga kushinda leo na kuingia raundi ya 2 tumeongeza poit 6 kwenye alama za CAF.

Na hata yanga wakitolewa raundi ya 2 moja kwa moja wanaingia makundi ya kombe la shirikisho, ni heshima kubwa kwa nchi yetu na tunazidi kutetea nafasi zetu 4 vizuri.

Pia nawatakia timu yangu ya Simba kesho izidi kutupa Raha watanzania. Na kwamoto wa simba kesho wasumbiji watatafutana kwa mkapa. Ahaaaaaaa Tanzania Hoyeeee. Yanga, Simba, Azam Hoyeeeeeeee. Tukutane kwa mkapa.

Yaani mashabiki wote wa Simba wangekua na akili kama wewe nina uhakika Rage asingejaribu kuwaita mbumbumbu! Tunashukuru sana kwa pongezi na sisi pia Wa kimataifa hatuna budi kuwatakia pia ushindi hiyo kesho.
 
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
Njoo basi tukutane hapa tupange au umeghairi?
 
Aibu yako mbumbumbu fc
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
 
Mimi ni mwana simba kindaki ndaki lakini linapokuja swala la timu zetu kuwakilisha nchi nauvua usimba na kuwaunga mkono wale wote wanao wakilisha nchi.

Nimefurai sana matokeo aliyoyapata mtani wangu kanda 2 nawapongeza wana kwasu kwasu wote kwa ushindi wa leo ni heshima kwa taifa letu.

kwa wale wasiojua. Kwa yanga kushinda leo na kuingia raundi ya 2 tumeongeza poit 6 kwenye alama za CAF.

Na hata yanga wakitolewa raundi ya 2 moja kwa moja wanaingia makundi ya kombe la shirikisho, ni heshima kubwa kwa nchi yetu na tunazidi kutetea nafasi zetu 4 vizuri.

Pia nawatakia timu yangu ya Simba kesho izidi kutupa Raha watanzania. Na kwamoto wa simba kesho wasumbiji watatafutana kwa mkapa. Ahaaaaaaa Tanzania Hoyeeee. Yanga, Simba, Azam Hoyeeeeeeee. Tukutane kwa mkapa.
Na sisi kesho tunawatakia Ushindi mtani.
Kimataifa tupo pamoja.
Kudos Yanga
Kudos Simba
 
Mimi ni mwana simba kindaki ndaki lakini linapokuja swala la timu zetu kuwakilisha nchi nauvua usimba na kuwaunga mkono wale wote wanao wakilisha nchi.

Nimefurai sana matokeo aliyoyapata mtani wangu kanda 2 nawapongeza wana kwasu kwasu wote kwa ushindi wa leo ni heshima kwa taifa letu.

kwa wale wasiojua. Kwa yanga kushinda leo na kuingia raundi ya 2 tumeongeza poit 6 kwenye alama za CAF.

Na hata yanga wakitolewa raundi ya 2 moja kwa moja wanaingia makundi ya kombe la shirikisho, ni heshima kubwa kwa nchi yetu na tunazidi kutetea nafasi zetu 4 vizuri.

Pia nawatakia timu yangu ya Simba kesho izidi kutupa Raha watanzania. Na kwamoto wa simba kesho wasumbiji watatafutana kwa mkapa. Ahaaaaaaa Tanzania Hoyeeee. Yanga, Simba, Azam Hoyeeeeeeee. Tukutane kwa mkapa.
Huwezi kuwa Simba kindakindaki na ukaitakia mema Yanga. Hatutaki shobo.
 
Back
Top Bottom