Wana Yanga SC Wenzangu hivi ni mpaka lini Simba SC itaendelea 'Kutunyayasa' namna hii katika Usajili? Tuwafukuzeni upesi GSM na Msola watuachie Timu

Ya nini kuumwa ukichaa kisa mpira, Karibu Chief...
Leo Rasmi tumemsajili Gentamycine ki ungo mkabaji SIMBA SPORTS CLUB "home of champions"
Mimi kama mwanayanga tena 'lia lia' kabisa kwa huu 'Upuuzi' naomba kuhamia rasmi Kwenu Simba Sports Club Mkuu kwani 'imenivutia' sana tu.
 
MIPOVU ruksa
 
Baada ya kuwa nae kwa muda mrefu 'Kimahusiano' Yule aliyekufanya leo hii upo nasi hapa duniani na 'Kuachana' nae ndiyo kaniharibu Kisaikolojia.
sio tatizo lako hila nahamini kuna bahadhi ya nati katika ubongo wako zitakua zimelegea, kwani hata unachoandika kinaonesha kabisa wewe jamaa ni dakika moja yes na dakika moja no
 
sio tatizo lako hila nahamini kuna bahadhi ya nati katika ubongo wako zitakua zimelegea, kwani hata unachoandika kinaonesha kabisa wewe jamaa ni dakika moja yes na dakika moja no

Ili nipone tatizo langu hili nakuomba kwa niaba yangu mwambie aliyekuleta duniani kuwa nataka 'turudiane' kwani 'alilinogea' na 'Kunikuna' sana.
 
chukua hilo povu ukaogee kwani inaonekana unapenda sana mapovu

Halafu hakuna neno CARIFONIA duniani bali kuna neno ( jina ) la CALIFORNIA sawa? Unajifanya unajua wakati 'Ujuha' Mtupu tu ndiyo umekujaa.
 
Kimsingi kama mwana yanga mwenye akili timamu ni kuachana na hilo chama mazima yani wala hakuna kwenda uwanjani waende wao na watoto zao na mademu zao maana inonekama kuna shida upande wa uongozi na mzamini gsm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichesha eti waende na mademu zao
 
Ili nipone tatizo langu hili nakuomba kwa niaba yangu mwambie aliyekuleta duniani kuwa nataka 'turudiane' kwani 'alilinogea' na 'Kunikuna' sana.
Una jipya zaidi ya kuonesha ujinga ulionao
Alafu unaoneka bonge la mshamba

Lakini sio inshu msalimie mama yako mwambie nimemisi sana
 
Halafu hakuna neno CARIFONIA duniani bali kuna neno ( jina ) la CALIFORNIA sawa? Unajifanya unajua wakati 'Ujuha' Mtupu tu ndiyo umekujaa.
una jipya kwani wewe unazani hilo ni jimbo la marekani,hiyo ni user name nayotumia jaribu kua unashirkisha na ubongo sometimes
 
Una jipya zaidi ya kuonesha ujinga ulionao
Alafu unaoneka bonge la mshamba

Lakini sio inshu msalimie mama yako mwambie nimemisi sana

CARIFONIA ndiyo neno ( jina ) la wapi hili? Yaani kabla ya Kutunga hii ID yako ulishindwa kuhakiki kuwa ni CALIFORNIA na si CARIFONIA? Swine.
 
una jipya kwani wewe unazani hilo ni jimbo la marekani,hiyo ni user name nayotumia jaribu kua unashirkisha na ubongo sometimes

Leo nina Wewe 'Mpumbavu' Wewe wamenishindwa 'Magwiji' hapa utakuwa Wewe? Hakuna neno CARIFONIA bali kuna neno sahihi CALIFORNIA tu.
 
Mikia imechanganya madesa!! Paper la Physics, Mikia imekesha ikimeza notisi za Civics!! In short, Yanga wanamfuatilia Walter Bwalya na sio Larry Bwalya!!!
 
Si Dhani kama mwandishi ni Shabiki wa Yanga .Hizo zilikuwa tetesi Yanga hawakuwahi kutangaza kumhitaji Larry ni tetesi kama ukisikia Arsenal wanataka kumsajili CR7 za weza kuwa za kweli au zisiwe za kweli .Tusilazimishe walete wachezaji ambao watakuja kuvurunda kama Yikpe afu tukawalaum.
Acha wachakarike wenyewe
 

Mimi yanga ila najua gsm ni wasanii..manji alinyimwa kutumia nembo ya yanga kibiashara.. ila gsm kapewa.. gsm hana kiwanda cha nguo.. jezi anatengeneza china na thailand kwa shilingi 2000 per 1 pcs. Ila anatuuzia 35,000 na hapo hapo timu inapata chini ya 2000 per 1 pcs.. na zuga zuga nyingi za usajili feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…