Wana Yanga SC Wenzangu JF Kocha Nabi na Rais Injinia Hersi hawatufai tuwatimueni upesi

Wana Yanga SC Wenzangu JF Kocha Nabi na Rais Injinia Hersi hawatufai tuwatimueni upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Timu juzi kule Nigeria imecheza Mchezo mbaya mno na inaonyesha Nabi siyo Kocha mzuri hivyo tumtimueni tu.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hatufai kabisa kwani Katusajilia Michezaji isiyojua Kama Mayele na Beki mbovu Mwamnyeto.

Naombeni wana Yanga SC Wenzangu wote hapa JamiiForums Kesho tukutane Klabuni Yanga SC ili tuandamane hawa watuachie Yanga SC yetu kabla ya Kucheza na Timu Ngumu na inayojua ya Rivers United FC Siku ya Jumapili Estadio du Mkapa.

Cc: Arovera, Bila bila and Frank Wanjiru
 
Mkuu umekula kitu cha skanka nini
1679883191779.jpg
 
Bora Nabi anachokifanya kinaonekana...huyu Hersi mpiga dili na mwanamtandao wa wauza ngada anayejifichia jangwani. Hersi hana legacy yoyote katika soka hakustahili nafasi hiyo
 
Timu juzi kule Nigeria imecheza Mchezo mbaya mno na inaonyesha Nabi siyo Kocha mzuri hivyo tumtimueni tu.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hatufai kabisa kwani Katusajilia Michezaji isiyojua Kama Mayele na Beki mbovu Mwamnyeto.

Naombeni wana Yanga SC Wenzangu wote hapa JamiiForums Kesho tukutane Klabuni Yanga SC ili tuandamane hawa watuachie Yanga SC yetu kabla ya Kucheza na Timu Ngumu na inayojua ya Rivers United FC Siku ya Jumapili Estadio du Mkapa.

Cc: Arovera, Bila bila and Frank Wanjiru
Mtani unawadhwa kalio🤣
 
Timu juzi kule Nigeria imecheza Mchezo mbaya mno na inaonyesha Nabi siyo Kocha mzuri hivyo tumtimueni tu.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hatufai kabisa kwani Katusajilia Michezaji isiyojua Kama Mayele na Beki mbovu Mwamnyeto.

Naombeni wana Yanga SC Wenzangu wote hapa JamiiForums Kesho tukutane Klabuni Yanga SC ili tuandamane hawa watuachie Yanga SC yetu kabla ya Kucheza na Timu Ngumu na inayojua ya Rivers United FC Siku ya Jumapili Estadio du Mkapa.

Cc: Arovera, Bila bila and Frank Wanjiru
GENTAMYCINE umehamia lini yanga?
Tofauti ya Simba na Yanga ni kwamba Yanga wana team ya uongozi, Simba hata hawana bodi ya wadhamini
 
Bwana Genta sisi alumni wa Cuba tumeshaing'amua dhima ya bandiko.
 
Timu juzi kule Nigeria imecheza Mchezo mbaya mno na inaonyesha Nabi siyo Kocha mzuri hivyo tumtimueni tu.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hatufai kabisa kwani Katusajilia Michezaji isiyojua Kama Mayele na Beki mbovu Mwamnyeto.

Naombeni wana Yanga SC Wenzangu wote hapa JamiiForums Kesho tukutane Klabuni Yanga SC ili tuandamane hawa watuachie Yanga SC yetu kabla ya Kucheza na Timu Ngumu na inayojua ya Rivers United FC Siku ya Jumapili Estadio du Mkapa.

Cc: Arovera, Bila bila and Frank Wanjiru
Toka lini wewe ukawa Yanga , nenda na ukolo wako

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Unataka na Yanga tuwe na kauli za "Sasa tuna umoja "ndio tushinde sio.
Kama Simba Kila baada ya mechi lazima wahubiri umoja.
 
Back
Top Bottom