Wana Yanga SC wenzangu nashauri Kikosi chetu cha Kumuua Mnyama Jumamosi kiwe hiki

Chaaaaaa juma makapu huyo ni mkaanga chipsi au? Hiyo kaizer chiefs labda ya kigoma huko kule kwa wakimbizi
 
Teh teh teh haya aisee mkuu japo kama huaminiki vile unasifia huku na huku
 
Teh teh teh haya aisee mkuu japo kama huaminiki vile unasifia huku na huku

Mkuu umepata taarifa lakini kwamba yule Askari wa FFU aliyeuwawa na Wananchi huko Ukonga alikuwa akiitwa Charles Yanga? Naona safari hii tumeanza mapema sana ila tabia yetu ya Kutoa ' Mikafara ' kama ambavyo siku zote tumekuwa tukifanya kila tunapokaribia kucheza na Simba SC. Halafu safari Mkuu ' Kafara ' letu tumelianza mapema sana hadi nawaonea huruma Simba SC hiyo siku ya Jumamosi.

R.I.P Afande Charles Yanga na Kila la Kheri Klabu yangu ya Yanga SC.
 
Nilikuwa sifahamu...RIP afande
 
mkuu kuhamia haikatazwi pia....unajulikana ni moja ya wafuasi wasiojiamini wa nyau sc....karibu huku kwetu, maana sie kila msimu kuna sikukuu
 
GENTAMYCINE acha Udwazi, ww toka lini umekuwa Vikombe Fc..
Ww ni Breed Fc.. So jiandae tu na pedy za kutosha hyo Jmosi
 

Mkuu naomba hiyo siku,usikimbie tu.. maana najua mtakula kichapo cha jibwa jizi
 
Wewe ni mnyama dhahiri, huwezi peleka vitani askari wenye magobole wakati wenye Ak 47 wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…